Hivi kilitokea nini? Maana mimi sijui wanaookolewa wamekutana na kisanga gani? Ndo nimekumbana nayo tu online wakati nataka kuangalia news. Nipeni details wakuu.
Hivi kilitokea nini? Maana mimi sijui wanaookolewa wamekutana na kisanga gani? Ndo nimekumbana nayo tu online wakati nataka kuangalia news. Nipeni details wakuu.
Hivi kilitokea nini? Maana mimi sijui wanaookolewa wamekutana na kisanga gani? Ndo nimekumbana nayo tu online wakati nataka kuangalia news. Nipeni details wakuu.
umesahau wale zaidi ya 40 waliokufa baada ya tope kuingia kwenye machimbo. Tena wakaja kutolewa miili yao ikiwa imeharibika kabisa. Nchi yetu bwana kwa suala la uokoaji bado tuna safari ndefu ya kwenda.