alhamis ile siku Netherland wanacheza na Argentina...
nasikia jamaa alikimbia mbaya baada ya Rehema kupiga kelele. hawakuwepo wale halafu ilikua nite sana.
alhamis ile siku Netherland wanacheza na Argentina...
nasikia jamaa alikimbia mbaya baada ya Rehema kupiga kelele. hawakuwepo wale halafu ilikua nite sana.
keep pushing hapo juu juu ili waje kuwa tenants wangu. Niliwalipa kiingilio wkt wanahit tena kwa hela ya boom wao wakaenda kuvutia unga sasa nasubiri kodi zao ili niongeze apartments. Anyway nampa pole Ray c na mama chid. Yani haka ka rayc nilivyokuwaga nakapenda, mara pu unga mara kamepona im hapy 4 her, akikomaa itakuwa leson kwa wengine na yeye haitamlazimu kuimba ili apate pesa. Al the best kiuno bila mfupa