Chezea yanga weye!!!!!

Chezea yanga weye!!!!!

CHAI CHUNGU

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2012
Posts
7,113
Reaction score
943
Yampiga Rayon sport kwao bao 2:0.
Wafungaji.
Hamisi Kiiza aka Diego!
Saimoni Msuva aka Neymar!
 
kwa hapo kwenye RED umedhihirisha kweli kwamba wewe Yanga DAMUau umpagawa na ushindi??
Yampiga Rayon sport kwao bao 2:0.
Wangungaji.
Hamisi Kiiza aka Diego!
Saimoni Msuva aka Neymar!
 
Yanga kama kawa,kama dawa...
Niliwaambia hapa na nitaendelea kuwaambia huyo Dogo anayekwenda kwa jina la Simon Msuva ni noumar!!
 
APR wamechomoa kucheza na YANGA kwa kuhofia kipigo cha 3 ndani ya miezi2.......pia imewatimua wachezaji wote wa nje kwa kile walichosema kwamba hawakuisaidia timu kwenye kagame cup mpaka ikapigwa na YANGA mechi2.
 
Mungu saidia iwe hivihivi na kwenye ligi isije kuwa kama Man U kwenye friendly wanaperform poa kwenye ligi wanaanza na kipigo
 
Back
Top Bottom