Chezea kizungu...Mama mmoja wa kijita alienda hotel ya watalii, kwa mara ya kwanza. Kwa pozi akaketi meza 1 na wazungu watatu. Mhudumu akaja kuwauliza wanatumia nn? Mzungu wa kwanza akasema "JOHN WALKER SINGLE" Wa pili "CAPTAIN MORGAN SINGLE" wa tatu "JACKIE DANIEL SINGLE". Mama wa kijita akadhani wametaja majina yao na marital status zao, yule mhudumu kumgeukia tu hata kabla hajamuuliza, mama akasema kwa pozi "Nyasatu Masatu Mafuru MARRIED"..Mhudumu akaangua kicheko mpaka akalia..CHEZEA Mjita Weyeeeee?!,!!!