FundiNgoma
Senior Member
- Dec 26, 2019
- 132
- 264
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza,nilipoteza cheti cha form IV na kiutaratibu inabidi niende necta na nikipiga mahesabu ni pesa ndefu kidogo ambayo sijajipanga kwa sasa,naombeni ushauri ili niweze kupokelelea chuo nilichochaguliwa.
Katika admission letter inaelezwa copy haitakiwi japo kuna mtu alinambia nicertify copy kwa mwanasheria,naomba mwenye uelewa juu ya haya maswala anipe ushauri ili nijue nafanyaje....
Ahsante
Katika admission letter inaelezwa copy haitakiwi japo kuna mtu alinambia nicertify copy kwa mwanasheria,naomba mwenye uelewa juu ya haya maswala anipe ushauri ili nijue nafanyaje....
Ahsante