Kulingana na mwaka cheti kilipotolewa lazima huyu atakuwa mtu mzima kidogo na'siajabu akawa mkuu wa kitengo fulani sirikalini so amejitafutia kinga mapema baada ya kuona chokochoko zimezidi...sijui kwanini bashite hakutumia trick hii kelele zote zile zisingesikika!
Kulingana na mwaka cheti kilipotolewa lazima huyu atakuwa mtu mzima kidogo na'siajabu akawa mkuu wa kitengo fulani sirikalini so amejitafutia kinga mapema baada ya kuona chokochoko zimezidi...sijui kwanini bashite hakutumia trick hii kelele zote zile zisingesikika!
Sasa kama cheti kikiungua, je atayeona ataona nini kama sio majivu ya cheti..?
kumbuka swala la kuchoma cheti ni badiliko la kikemikali (chemical change)
Je nikiona majivu yake niripoti polisi kuwa nimeona majivu ya cheti cha Bwana Mboya..??
Sasa kama cheti kikiungua, je atayeona ataona nini kama sio majivu ya cheti..?
kumbuka swala la kuchoma cheti ni badiliko la kikemikali (chemical change)
Je nikiona majivu yake niripoti polisi kuwa nimeona majivu ya cheti cha Bwana Mboya..??