Cheque namba Utumishi wa Umma

kabadimichael

Member
Jan 14, 2016
6
0
Mwenye uelewa na cheque namba za utumishi wa umma znatolewa baada ya mda Gan?Nmerport kazn tang mwenz wa 10-2015 nmeambiwa nsubr cheque hadi saiv miez 4 npo home!
 
Mwenye uelewa na cheque namba za utumishi wa umma znatolewa baada ya mda Gan?Nmerport kazn tang mwenz wa 10-2015 nmeambiwa nsubr cheque hadi saiv miez 4 npo home!

Ndugu wewe kama mimi,am still in waiting ,tangu mwezi wa kumi na moja,,,,,,waliniambia watanipigia simu
 
Utaratibu ukisharipoti kazini unaendelea na kazi kama kawaida wakati maafisa utumishi wanaendelea na taratibu zao.
Katika kipindi hicho ni kweli hutapokea Mshahara kama miezi mitatu japo once ukianza kupokea Mshahara na cheque no. Huwa tayari na baada ya muda mfupi utajaza form za malimbikizo ya mshahara.
Sijui kwa nini nyie mpo home badala ya kuwepo kazini mkiendelea kutumikia ofisi zenu.
Some time wakuu wenu wa kazi huwaonea huruma hasa kama hamna viposho basi atasubiri mpaka mshahara uingie.
Cha msingi muwe mmekamilisha kujaza documents zote pamoja na barua ya kuajiriwa kwa masharti ya muda mkisubiri Permanent & Pensionable ili muanze kufika na kutoka ofisin saa 3 na kutundika koti na kuanza misele mitaani.
 
Ndg auguvale naomba contact tuongee kimapana zaid
Utaratibu ukisharipoti kazini unaendelea na kazi kama kawaida wakati maafisa utumishi wanaendelea na taratibu zao.
Katika kipindi hicho ni kweli hutapokea Mshahara kama miezi mitatu japo once ukianza kupokea Mshahara na cheque no. Huwa tayari na baada ya muda mfupi utajaza form za malimbikizo ya mshahara.
Sijui kwa nini nyie mpo home badala ya kuwepo kazini mkiendelea kutumikia ofisi zenu.
Some time wakuu wenu wa kazi huwaonea huruma hasa kama hamna viposho basi atasubiri mpaka mshahara uingie.
Cha msingi muwe mmekamilisha kujaza documents zote pamoja na barua ya kuajiriwa kwa masharti ya muda mkisubiri Permanent & Pensionable ili muanze kufika na kutoka ofisin saa 3 na kutundika koti na kuanza misele mitaani.

oh,kumbe ni kwa watumishi wote wa serikali utaratibu ni huo...mie nafasi ya tutorial assistant UDOM niliripoti,nikajaza documents zote,ila wakasema hapo kwenye tarehe ya kuanza kazi,niache nisijaze hadi cheque number ikitoka watanipigia simu,am still waiting.
 
oh,kumbe ni kwa watumishi wote wa serikali utaratibu ni huo...mie nafasi ya tutorial assistant UDOM niliripoti,nikajaza documents zote,ila wakasema hapo kwenye tarehe ya kuanza kazi,niache nisijaze hadi cheque number ikitoka watanipigia simu,am still waiting.

Inawezekana ikawa ni utaratibu wao, hasara yake ni kukosa mishahara ya kipind hicho cha kusubiria. Pia inawezekana ikaonekana ulipata cheque no. Kabla ya kuajiriwa. Kwa mfano kama mchakato ulianza December ukakamilika january huwezi jua mchakato ulianza lini matokeo yake utajaza january kumbe form zako utumish zinaonekana umepata cheque no december.
Labda urasimu umerudi. Wakati wa BWM ukiacha majeshi utengenezaji wa cheque no. Mpya ulisubiri signature ya Benjamin Mkapa mwenyewe sio Katibu Mkuu Kiongozi Martin Lumbanga wala nani may be Dr.Magu nae kaanza hiyo kitu kimya kimya kudhibiti ajira na matumizi ya Serikal
 
Inawezekana ikawa ni utaratibu wao, hasara yake ni kukosa mishahara ya kipind hicho cha kusubiria. Pia inawezekana ikaonekana ulipata cheque no. Kabla ya kuajiriwa. Kwa mfano kama mchakato ulianza December ukakamilika january huwezi jua mchakato ulianza lini matokeo yake utajaza january kumbe form zako utumish zinaonekana umepata cheque no december.
Labda urasimu umerudi. Wakati wa BWM ukiacha majeshi utengenezaji wa cheque no. Mpya ulisubiri signature ya Benjamin Mkapa mwenyewe sio Katibu Mkuu Kiongozi Martin Lumbanga wala nani may be Dr.Magu nae kaanza hiyo kitu kimya kimya kudhibiti ajira na matumizi ya Serikal

Duh,kama mchakato utakuwa na urasimu huo,itakuwa hatari.,but sio mbaya wacha tuendelee kusubiri....Asante sana Great thinker Pohamba kwa mchanganuo wako,you seem to know these issues so well .........however ningepata experience ya tutorial assistants wa UDOM wao ilikuwaje,ingekuwa poa sana.....
 
Inategemea na Wilaya unayofanyia kazi. Check numba inatoka pindi utakapokuwa approved kupata mshahara. Hapo ndiyo check numba inatoka
 
Ukipata HR mzembe, mpaka miezi minne ya kupata mshahara ndiyo utaipaoata check numba
 
aisee mim pia nilisaini mkataba tirdo tangu mwaka jana mwez wa 5 nilikaa mtaani karibia miez minne mpk mwez wa 9 nkapata kazi nyngne bt mpk leo hii bado tukifatilia tunaambiwa hazina wanachelewesha kutuingiza kwnye payrol nilishachoka nmeamua kukacha naendelea na kaz yangu tuu bt wanasema watatuita
 
Check no kwa sasa serikali inatumia LOWSON system ni kitendo cha muda mfup sana kufeed data za mwajiriwa tena kabla ya tr 15 ya mwezi husika then utumish wanakuaprove mchezo umeisha, kuweni wapole labda kuna ishu nyingine
 
Back
Top Bottom