Mi nagawana nao pasu, nikipanda asiniulize nauli nakausha.
Na hii ilitokea baada ya kusahau chenji ya Shs 10,000 kwenye dala dala ya Mwananyamala - Kivukoni mwaka 2007 mpaka leo inaniuma na sina uhakika kama nilisha irudisha. Lakini najua itarudi tu.