rutabazi
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 493
- 288
wadau habr za muda hu,
walimu wa ajira mpya wanapata tabu sanaaa katika halmshaur tajwa haijawahi tokea,2018
kama wahusika mpo humu angalini namna yakufanya walimu hawan cha kuiba,mazingira mnayajua, majibu yenu hayana mashiko kbs,
mwalim pesa ya kujikim miola _hamna mhashara pia hmn hamashaur zingine tayr hata kujitafakari pia hakuna ...
maagizo ya rais na tamisemi walimu wa ajira wapewe stahiki zao pia hilo haliwezekani
chemba -dodoma wahusika msisubir msikie mwalimu kafariki ndo mchangishana lambilambi huruma kwa hawa walimu jamani njaaa.
mkurugezi hali ni mbaya kwa watumishi wako'walimu
walimu wa ajira mpya wanapata tabu sanaaa katika halmshaur tajwa haijawahi tokea,2018
kama wahusika mpo humu angalini namna yakufanya walimu hawan cha kuiba,mazingira mnayajua, majibu yenu hayana mashiko kbs,
mwalim pesa ya kujikim miola _hamna mhashara pia hmn hamashaur zingine tayr hata kujitafakari pia hakuna ...
maagizo ya rais na tamisemi walimu wa ajira wapewe stahiki zao pia hilo haliwezekani
chemba -dodoma wahusika msisubir msikie mwalimu kafariki ndo mchangishana lambilambi huruma kwa hawa walimu jamani njaaa.
mkurugezi hali ni mbaya kwa watumishi wako'walimu