Klabu ya Chelsea ya uingereza imefanikiwa kuibuka na ushidi zidi ya Club ya WBA wa Goli 1 kwa 0, Goli lililofugwa na Mshambuliaji Batshuayi dakika ya 82.
Hivyo sasa Chelsea ndio bigwa wa EPL msimu wa 2016/2017.
Pole sana mkuu , bwawa la maini limejaa utumbo wa kuku kama lile ghara la siraha lililojaa bunduki za mbao ...wooden guns like (zile za wagambo/militia)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.