Kwanza ukisoma maelezo yake yey anaonesha wazi kuwa tatizo la hiyo posti ni kuwa may be hata fanya birtday au kumuita Platnumz kupiga show ( Yani kimaudhui zaid)
Lakin haonesh kukanus ubovu wa matumizi ya Lugha ( Fani).
so yey kaonyesha kuwa lugha ni sawa na it means imetoka kwake kama hakuligusa hiloo