......
Mfano: shs. 500x2,000,000wateja=1BILIONI kwa siku moja tu ! halafu huduma inapokosekana kwa nini tusiwaite wezi hawa na wataalamu wa Mamlaka ya Mawasiliano watusaidie TUWASHITAKI HAWA JAMAA WA VODACOM. VINGINEVYO UMASIKINI WETU UTAZIDI KUONGEZWA NA KUNYONYWA NA KUIBIWA na VODACOM.