Ila Mashali naye ni mbishi.Alitembezewa kisago last time hadi network ilipotea.Mwanzo nzuri sana.
Kodi imekusanywa kiasi gani ndo interesting point to hear. Haya mapigano yasiyokuwa hata na chanzo cha ugomvi yawanufaishe mpaka wazee wetu kijijini msoga na kwingineko
Hahahaaaa.RItz ameshakanusha tuhuma zote anasema hana Lori wala basi.Watu wamepanga kumchafua.