mwanagu gari halinunuliwi kama karanga .Ukitaka nunua used car unaenda na fundi wako anakagua gari kila kona .kama bovu atakuambia biashara haifai.leo nimemuzia jama wa humu ndani vitz kaja na fundi wake karithika akachukua mali yake .na sisi si wajinga tu huze Gari bovu wakati hii ndio biashara inayo tuweka mjini ya magari Ni sawa na kujiharibia biashara,kuwa mjanja basi hata kidogo chaliangu so karanga hiziunanunua leo kesho engine down
nauza rav 4 mil 10, nataka carina milion 5