Mkalukungone Mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 2,442
- 5,240
Chama cha ukombozi wa Umma (CHAUMMA) wameahidi kutoa elimu bure kwa watoto wa kitanzania kuanzia Chekechekea hadi elimu ya juu bure iwapo watanzania watakipa nafasi kushika dola.
Akizungumza na vijana kwenye kongamano la vijana wa CHAUMMA kuelekea siku ya vijana Augosti 12 mwaka huu naibu katibu mkuu CHAUMMA Taifa Singo Kigaila amesema serikali huko nyuma ilikuwa ikiwasomesha watoto wa Tanzania bure kwa kutegemea tumbaku, mkonge na mazao mengine na kwamba shule za serikali ndizo Ilizokuwa zikikimbiliwa kwa kutoa elimu bora lakini kwa sasa shule binafsi ndizo zinazokimbiliwa kutokana na ubora lwa elimu.
Akizungumza na vijana kwenye kongamano la vijana wa CHAUMMA kuelekea siku ya vijana Augosti 12 mwaka huu naibu katibu mkuu CHAUMMA Taifa Singo Kigaila amesema serikali huko nyuma ilikuwa ikiwasomesha watoto wa Tanzania bure kwa kutegemea tumbaku, mkonge na mazao mengine na kwamba shule za serikali ndizo Ilizokuwa zikikimbiliwa kwa kutoa elimu bora lakini kwa sasa shule binafsi ndizo zinazokimbiliwa kutokana na ubora lwa elimu.