m_kishuri
JF-Expert Member
- Jan 27, 2010
- 1,484
- 372
Dogo (C. Anthony) will make his NY Knicks debut tonight againts the Bucks Milwaukee. Binafsi kama mpenzi wa Knicks natumaini huenda huu ukawa mwanzo wa kufufuka kwa hii timu, kwani ukibonde ulikuwa umezidi.
Inawezekana ni ndoto zangu za mchana, lakini naangalia forward yenye Carmello, Amare Stoudemire na C. Billups ....... I guess we should expect some good stuff.