Charges Sought in Death of Congo Leader Lumumba

Estmeed Reader

Senior Member
Mar 19, 2010
134
0
BRUSSELS – A group of legal activists formally requested war-crimes charges Monday against a dozen Belgian government officials and military officers widely suspected in the assassination of Patrice Lumumba, Congo's first democratically elected prime minister.

Lumumba headed Congo's largest political party and became leader when Belgium granted independence to the country on June 30, 1960 after a century of colonial rule. Many in the West viewed the charismatic prime minister as a dangerous radical because he wanted to nationalize the new nation's lucrative, Belgian-owned gold, copper and uranium mining industry.

Hii isiishie kwa kesi ya Lumumba tu; mamuluki (mercenaries) waliotamba Afrika wote washitakiwe

 

BRUSSELS – A group of legal activists formally requested war-crimes charges Monday against a dozen Belgian government officials and military officers widely suspected in the assassination of Patrice Lumumba, Congo's first democratically elected prime minister.

Lumumba headed Congo's largest political party and became leader when Belgium granted independence to the country on June 30, 1960 after a century of colonial rule. Many in the West viewed the charismatic prime minister as a dangerous radical because he wanted to nationalize the new nation's lucrative, Belgian-owned gold, copper and uranium mining industry.

Hii isiishie kwa kesi ya Lumumba tu; mamuluki (mercenaries) waliotamba Afrika wote washitakiwe


Viongozi wa kiafrika baada ya uhuru walikuwa tishio kwelikweli, na nadhani pengine arguably unaeza kusema walikuwa na maono ya mbali ambayo hawa wa hivi sasa will never achieve. Wakati kipindi hicho kiongozi wa kiafrika aliheshimiwa na kuogopwa, kwamba wanaweza kuweka rasilimali chini ya usimamizi wa dola, viongozi wa siku kutwa wapo majiani na kwingineko kunadi rasilimali zetu kwa wageni! Nina hakika akina Lumumba na Nkrumah wakifufuka leo hii wanaeza kufa kwa kihoro na huzuni.
 
Viongozi wa kiafrika baada ya uhuru walikuwa tishio kwelikweli, na nadhani pengine arguably unaeza kusema walikuwa na maono ya mbali ambayo hawa wa hivi sasa will never achieve. Wakati kipindi hicho kiongozi wa kiafrika aliheshimiwa na kuogopwa, kwamba wanaweza kuweka rasilimali chini ya usimamizi wa dola, viongozi wa siku kutwa wapo majiani na kwingineko kunadi rasilimali zetu kwa wageni! Nina hakika akina Lumumba na Nkrumah wakifufuka leo hii wanaeza kufa kwa kihoro na huzuni.
Mkuu maadui bado ni wale wale,tofauti ni kwamba sasa wana rubber stamp yao named mafisadi.
 
Mkuu maadui bado ni wale wale,tofauti ni kwamba sasa wana rubber stamp yao named mafisadi.
Mzee,

Hivyo ndivyo ilivyo.

Kwamba 'civillization' ya kipindi cha around 1950s and 1960s, direct exploitation through millitary conquest, ilionekana kama barbaric na sio appealing ktk kughilibu masses. Hivyo basi ili ionekane makoloni yanatendewa haki, wakatupa 'uhuru' lakini baada ya careful analysis kuona kwamba hakutakuwa na impact kwenye maslahi yao.

Hawa watu bado kwa kiwango kikubwa walikuwa wakitegemea makoloni yao, kuanzia kwene raw materials, fuel, usafirishaji (kwene baadhi ya maeneo), masoko hadi vitega uchumi vingine walivyoweka kipindi cha ukoloni. Mojawapo ya mbinu walioifanya ni kuweka mamluki wao kwene safu za uongozi, mauaji (kama hayo ya Lumumba) na pia kuanzisha vita vya wenyewe kwa wenyewe.
 
Back
Top Bottom