Pendaelli
JF-Expert Member
- Feb 13, 2014
- 12,105
- 35,138
Waambie Gwajima waambieeeeeeeeeee!! Yaani kuna watu wamepigwa muhuri wa ujinga pia!!!badala ya kufanya kazi kwa bidii na kuweka mipango mikakati ya kuboresha uchumi na afya zao wao wanaishia kusombea pesa na muda wao mwingi kwa hawa matapeli wa imani wanaohubiri maji huku wanakunywa wine!!wanousifu umasikini wa muumini kuwa ni kigezo cha kumpeleka mbinguni huku yeye mwenyewe akiwa ni kati ya manabii wenye ukwasi wa kutisha!!waambie mazee!!waambie wachoropoe mimba tu,siku kizazi kikigoma waje kwako utawapatia uzazi kwa gharama nafuu tu!!waambie babaaaaaaaa ngwajimaaa
Bila ya shaka na wewe una chapa ya aina yake