Chapa na mihuri ya kichawi

Chapa na mihuri ya kichawi

Waambie Gwajima waambieeeeeeeeeee!! Yaani kuna watu wamepigwa muhuri wa ujinga pia!!!badala ya kufanya kazi kwa bidii na kuweka mipango mikakati ya kuboresha uchumi na afya zao wao wanaishia kusombea pesa na muda wao mwingi kwa hawa matapeli wa imani wanaohubiri maji huku wanakunywa wine!!wanousifu umasikini wa muumini kuwa ni kigezo cha kumpeleka mbinguni huku yeye mwenyewe akiwa ni kati ya manabii wenye ukwasi wa kutisha!!waambie mazee!!waambie wachoropoe mimba tu,siku kizazi kikigoma waje kwako utawapatia uzazi kwa gharama nafuu tu!!waambie babaaaaaaaa ngwajimaaa

Bila ya shaka na wewe una chapa ya aina yake
 
Hiyo kitu aliyofundisha ni Serious sana....Hata cc tumefundishwa jana tofauti nikichwa cha Somo tu cc ilikuwa nikuhusu Ufahamu...Ila ukickiliza mafundisho km haya vzr unaweza kujijua uko wapi tatizo ya mambo ya kiroho yanahusu nafsi zaidi
 
Mbez mwisho stend hakuna gar wasafir kibao tunatoa macho tu na kuchungulia barabara kama linakuja kumbe haliji duuuh

Mngekuwa ferry ningewaambia mpige mbizi! Lakini sasa hivi nitawaambia nendeni kwa mguu!
 
Mbez mwisho stend hakuna gar wasafir kibao tunatoa macho tu na kuchungulia barabara kama linakuja kumbe haliji duuuh
Nisubiri hapo hapo nikupe lifti ukiiona Noah ya kijani no t 222 dsv isimamishe nitakuwa ndo mimi nadhani nitakuwa nafanya ibada kubwa kuliko hao wanaowekana mihuri
 
Back
Top Bottom