mtzmweusi
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 8,658
- 8,994
Wakuu habari zenu baada ya hawa wanaoitwa wahisani kusepa na misaada yao nimekaa nikafikiri chanzo kingine ambacho serikali inaweza kukitumia kupata pesa za maendeleo na ningependa hizi ziingie moja kwa moja ktk mfuko wa maendeleo, chanzo chenyewe ni ktk simu tunazotumia mf kila mmiliki wa simu akichangia tsh 1000/= kwa mwezi kwa kadirio la kawaida kuna watumiaji wa simu takribani mil 5 hapo tutapata bil 5 kwa mwezi hivyo kupelekea kupata trilioni 6 kwa mwaka tukifunga mkanda tunaweza tuanze kufikiri nje ya box Tanzania bila misaada inawezekana
Mtzmweusi
Mtzmweusi