Mwana Kwetu
JF-Expert Member
- Jul 12, 2011
- 652
- 607
Kila sehemu wapo hata mtaani kwako wapo sema hujawahi kutana nao kutokana na wewe si mtu wa kuhangaikia sana ile kitu......,ila kama unataka unaweza pitia bar yoyote leo kama jumatatu kwako imekaa njema na utakutana nao tuHawa wadudu wanapatikana mitaa gani ili tunapokuwa huko tuweze kuwakwepa?
Yale yale ya vigogo.
Kila sehemu wapo hata mtaani kwako wapo sema hujawahi kutana nao kutokana na wewe si mtu wa kuhangaikia sana ile kitu......,ila kama unataka unaweza pitia bar yoyote leo kama jumatatu kwako imekaa njema na utakutana nao tu
Teh teh teh!janja ya nyani!kuwakwepa au kuwapata walipo!Hawa wadudu wanapatikana mitaa gani ili tunapokuwa huko tuweze kuwakwepa?
Kaumba....
Wale wa vituo maalumu ni wale ambao hata kwenda bar na kuagiza soda au bia hawawezi hivyo huamua kusimama ama kukaa pembezoni mwa barabara kusubiri wateja,hawa ogopa sana maana hata ukiwa nao dakika tano tu wanakuliza.Mkuu huwa wana vituo maalum nijuavyo wanaopatika kwenye mabaa ni mabaa medi na hawa wengi huwa wamejikoboa kiasi kwamba siku hizi siwezi hata kula nyamachoma kwani nikiowaona tu apetite inashuka.
Wanatakiwa watengewe maeneo tengefu ila walipishwe kodi au wapigwe marufuku
Teh teh teh!janja ya nyani!kuwakwepa au kuwapata walipo!
Mkuu kama ni kweli basi nakutakia kila la kheri,maana siku hizi watu hawaaminiki hata kidogo!Tukutuku mi sitembei kwa gia ya rivasi huwa natumia gia za kawaida namba 1-4. Hizo zako hatujazoea sisi tumekuzwa kimaadili ya mababu.
Mkuu Kaumba kijiografia hapo Moro ni mwelekeo wa wapi?
Mkuu nikifika Moro nijitahidi kukwepa hiyo mitaa kwani Biblia inasema ikimbieni zinaa na sio kupambana nayo.Mbele ya Luna kama unaenda Masika, ukifika maeneo ya ofisi za CCM wilaya unakata kona kushoto eneo hilo kuna bar nyingi nyingi ikiwapo na Moro Night.