Changudoa kaniganda

Changudoa kaniganda

Kitu kidogo kama hiki hadi ulete Thread?
Mtoto wa kiumeni unashindwa na changamoto ndogo kama hii?

Inaonekana binti anajitambua kuliko wewe. Kuna wengine wanaifanya kwa malengo kama alivyokueleza.

Na wao ni binadamu kama wengine, wanapenda na kutamani. Wanahitaji kuwa na wapenzi wao permanently.
Kama wewe ulivyo na wao ni hivyo hivyo.

Fanya moja kati ya haya;
1. Mshauri kwa umakini na kimahaba.
Ili uweze kumbadilisha kimawazo.
- Siyo kumchunguza na kumpeleleza kwa udadisi.

2. Mpende ili aweze kujinasua na huo mtego unaomsumbua.

3.Muache mazima labda atapata mwingine atakayemshauri.

Yawezekana anafanya hivyo hata kwa lengo la kutafuta hata atakayemuoa ili atulie kabisa. Ila tu kwakuwa kila mmoja anamfikiria negatively.

Nimeongea kwa uzoefu wa kuwa na mahusiano na mtu wa namna hiyo kwa muda mrefu, ila nilimbadilisha sana na hivi sasa alishaolewa na ana watoto wawili.

Kuna siku nilionana naye mjini na watoto wake 2 akaniambia nashukuru sana kwa MALEZI yako uliyonipa 2016. Yawezekana ningekufa hata bila kuolewa!
 
Dogo hutaweza kumuoa, Uzi wako wote unaonekana unaogopa gharama sana! Narudia kama unataka vitu cheap kwa kuogopa Gharama basi una hali mbaya! Mimi sikuona Malaya but nimemuona kidume anayeogopa gharama! Acha ujinga tafuta pesa, mjue Mungu, shika dini!

🤣🤣🤣ati niniiiii???....anaogopa gharama🤣🤣🤣
 
Huyo ndo mwanamke wa kuoa Sasa huyo hawez kukuchit kamwe never
 
Hakawii kukubadilikia wakati wowote.
Ila kwa kupagawisha kunako 6x6 lazima uhusishe maneno meeengi ya kujifariji alimradi uendelee kupiga pushup za kiuno.
 
Kipimo cha kujua kuwa Demu kakuelewa baada ya mgegedo,in pale mnapoondoka sehemu ya tukio,afu ukfka unapoish mute,na yeye lazima akutafute kukuulzia umefka salama
 
 
Wengi sana tunawaona wife materials lakini ni wadangaji wakubwa sana.Kama unahisi unaweza kujenga naye maisha mtengeneze na ipo siku atakua mama bora.
Heri kahaba anayejulikana kuliko wema ambao wanagongeka kimya kimya na kila amtongozaye kwa kisingizio cha kuchuna
 
Inawezekana huyo dada amechoka na hiyo biashara hivyo amekuona unafaa kuwa baba maybe umemridhisha hivyo anatamani mjenge familia

Lkn pia huyo anaweza mke sahihi kwani anazijua changamoto za maisha mm naamini anaweza kuwa mke bora kupitia wewe na hata yeye amekuona wewe ni the best kwake
Endelea tu kumshauri mwenzako aoe mtu wa aina hiyo. Umpe tena na njia za kumtambulisha isije ikawa alishauzia mtu wa kwao
 
Niko Njiapanda wadau, hapa naomba ushauri kwa wanawake na wanaume.

Juzi asubuhi nakatisha mtaa wapili dukani nakutana na Mdada mzuri kwelikweli mtoto mrefu nyororo, mwili umepangika haswaa na rangi angavu ya kuvutia. Kama mwanaume nikasikia mapigo ya moyo yanabadilika ikabidi nifanye mchakato wa kumtongoza ingawa nilikua nahofu kwa uzuri ule lazima kuna kibosile anatoa huduma zake au ni mke wa mtu flani mwenye maisha yake. Tofauti na matarajio mtoto akawa mwepesii mpaka nikajiona bonge la kidume, nikapewa namba kisha kaondoka,huku nyuma nikajiona bonge ka handsome shababi jitu la uhakika.

Jioni mishale ya saa12 naona simu inaita jina la yule mrembo napokea ananiambia njoo home. Nilipofika nikashangaa kuwakuta wako mabinti kama wanne wote wazuri sana, cha kustaajabu nakuta wamevaa kimalayamalaya vitovu njenje wengine wako kwe skintight wengime matiti waziwazi. Na yule mlengwa naye kidogo alijaribu kujistiri kikahabakahaba, livaa sket ndefu na kitop chake lakini tumbo liko wazi, ndipo nikaona shepu yake live mtoto anatako zuri sana hips limetuna kama kajazwa upepo, kitovuni michirizi ya vinyweleo kuelekea chini huko.

Nikakaribishwa ndani, nilitaka kusita akanambia usiogope hapa kila mtu na chumba chake. Nikaingia kwa hofu huku nikijiuliza kama ana mume na sikuchoka kukagua ili nione hata suruali la kiume lakini kukawa shwari. Gafla naulizwa umekuja na kiasi gani cha pesa, yaani malipo unanilipa ngapi na unataka fasta au kulala na utalala hapa au twende kwako? Mh, yamekua hayo tena kumbe huyu dem anajiuza na hapa ni danguro. Mama yangu leo nimeingia mkenge, sasa nifanyeje mtoto wa kiume ikabidi nitamke pesa ya chini sana ili tushindwane.

Siku nyingine usije wala kunipigia simu kama hauna hela ya maana, sawa eeh!? nikaitika kwa kutikisa kichwa. Ghafla mtoto kaanza kuvua, mh! kwakweli sijui kwanini kaamua maisha yale, sijui kwanini wenye maisha yao hawamuoi wamfaidi ndani. Nikapewa kondom kisha nikamuuliza kwani unazo kondomu nyingine akanitolea boks na zingine kwenye pochi yake ya kazi, akauliza unatumia ngapi nikupe?

Nikasema nilitaka nijue kama unazo nyingi. Nikauliza bila ndomu nikupe ngapi, akasema sinaga mchezo huo hata kwa pesa yoyote. Hapo mtoto ameshakua kama alivyoz\ zaliwa .. Nakumbuka alipo niambia vaa kondomu kwanza na wakati huo akachukua akalimenya ndomu akanivalisha, kilicho endelea sikumbuki ila nacho weza kukumbuka baadaye akanipa boks akanambia vua hiyo weka humu. Hapo nilikua nimetumia ndomu mbili nikachukua na ile ya chini nikatia mule ndani.

Mungu anisamehe ni mara yangu ya kwanza kufanya ujinga huu, nilikua najiona siwezi kamatika ila kwa uzuri wa huyu dem nimekua kiumbe dhaifu kuliko nyuzi ya buibui.

Baada ya yote nashangaa mdada anaanza stori nyinginyingi na anakua mchangamfu sana mpaka nikahisi labda amenihurumia kwakua sina hela na pengine atanirudishia pesa yangu. Ikabidi nimpe ushirikiano wa stori. Akanisimulia sababu za kufanya kazi hiyo na Malengo yake ya kutafuta mtaji. nikamuuliza kwahiyo unapata kiasi gani kwa kila siku, akanambia anapata kuanzia elfu 75 hapo anakua amepata wateja wawili au mmoja wa maana.

Sikutaka stori nyingi nilitamani nitoweke watu wasinione maana ni aibu kwakua hapo watakua wanajulikana na majirani alafu mi naishi mtaa wa pili tu.

Wakati naondoka yule dem katoka kunisindikiza kisha kaniambia .. "Ukiwa boyfriend wangu nitakua nakupa bure kila siku". Gafla nikamuuliza, unataka niwe bwana wako akajibu ndio .. mh. Inawezekana vipi niwe bwana wake, yaani Malaya anakuwaje na bwana? sasa anataka nini kwangu? sina pesa alafu analala na wanaume kila dizaini sasa bwana wa nini tena? Amekosa nini huyu ambacho atakipata kwangu?

Niliishia kumwambia tutawasiliana, karundi akisema amepata mteja hivyo anaondoka. Mi nikasepa zangu mawazo tele kichwani nikiwaza hatma yangu kwa dhambi hii. Ilipofika usiku saa tano naona simu yake, Anauliza mbona hauja nimbia kama umefika salama? nikajibu niko poa, akauliza uko na nani? Niko pekeangu, akaniaga akasema tutaonana kesho.

Ilipofika asubuhi napigiwa simu kusalimiwa. Namuuliza habari ya kazi, tofauti na kwaida yake anajibu kwa kujilazimisha.
Nilipokua mjni katika mishe zangu, anapiga simu nimwambie nilipo, akaja tukaenda kula akalipia msosi, nilijaribu tena kumuuliza ili nijue na jana pia kaingia pesa ile aliyo nambia? lengo langu ni kumshauri na kumsisitiza afanye kazi yake kwa malengo kama alivyo nieleza, tofauti na kawaida yake anapata taabu kujibu swali na anaonesha wazi hapendi nimuulize maswali au tuzungumzie hiyo kazi yake.

Kuna hali flani anaonekana nayo kwa sasa, ananionea aibu flani na muda mwingi anakaa kimya kama kunitegea hivi na hapendi nimuangalie usoni. Binafsi nimemzowea na najaribu kumuona wa kawaida. Kuhusu kuwa wapenzi binafsi naogopa kutokana na hiyo kazi yake hasa kwakujali afya yangu, nimemwambia swala la kupima afya kanambia yuko tayari na atalipia yeye garama zote.

Swali najiuliza kama tutapima na awe anaendela na kazi yake sasa inamaana gani? Najiuliza kwangu kapenda kitu gani? Mbona anapata vyote kwa faida?

Swali nalopenda mnisaidie. Hivi Malaya nao wanakuwa au wanahitaji mpenzi wa kudumu? Wakazi gani? Hapo nafanyaje?

Naombeni ushauri jamani hili limenitokea mimi na sio mwingine na sitaki kusingizia, ooh kuna rafiki yangu ilitokea vile na vile no, ni mimi hapa tena juzi jumaosi tu.
Lipia tangazo.
 
Umenikumbusha kuna mmoja toto toto kweli aliniganda hadi ikawa noma nilikuwa sikosekani mitaa ya Mori everyday na nispoenda ana mind kabisa. Ila ni wakorofi haoo kuwa makini sana mkuu
 
Niko Njiapanda wadau, hapa naomba ushauri kwa wanawake na wanaume.

Juzi asubuhi nakatisha mtaa wapili dukani nakutana na Mdada mzuri kwelikweli mtoto mrefu nyororo, mwili umepangika haswaa na rangi angavu ya kuvutia. Kama mwanaume nikasikia mapigo ya moyo yanabadilika ikabidi nifanye mchakato wa kumtongoza ingawa nilikua nahofu kwa uzuri ule lazima kuna kibosile anatoa huduma zake au ni mke wa mtu flani mwenye maisha yake. Tofauti na matarajio mtoto akawa mwepesii mpaka nikajiona bonge la kidume, nikapewa namba kisha kaondoka,huku nyuma nikajiona bonge ka handsome shababi jitu la uhakika.

Jioni mishale ya saa12 naona simu inaita jina la yule mrembo napokea ananiambia njoo home. Nilipofika nikashangaa kuwakuta wako mabinti kama wanne wote wazuri sana, cha kustaajabu nakuta wamevaa kimalayamalaya vitovu njenje wengine wako kwe skintight wengime matiti waziwazi. Na yule mlengwa naye kidogo alijaribu kujistiri kikahabakahaba, livaa sket ndefu na kitop chake lakini tumbo liko wazi, ndipo nikaona shepu yake live mtoto anatako zuri sana hips limetuna kama kajazwa upepo, kitovuni michirizi ya vinyweleo kuelekea chini huko.

Nikakaribishwa ndani, nilitaka kusita akanambia usiogope hapa kila mtu na chumba chake. Nikaingia kwa hofu huku nikijiuliza kama ana mume na sikuchoka kukagua ili nione hata suruali la kiume lakini kukawa shwari. Gafla naulizwa umekuja na kiasi gani cha pesa, yaani malipo unanilipa ngapi na unataka fasta au kulala na utalala hapa au twende kwako? Mh, yamekua hayo tena kumbe huyu dem anajiuza na hapa ni danguro. Mama yangu leo nimeingia mkenge, sasa nifanyeje mtoto wa kiume ikabidi nitamke pesa ya chini sana ili tushindwane.

Siku nyingine usije wala kunipigia simu kama hauna hela ya maana, sawa eeh!? nikaitika kwa kutikisa kichwa. Ghafla mtoto kaanza kuvua, mh! kwakweli sijui kwanini kaamua maisha yale, sijui kwanini wenye maisha yao hawamuoi wamfaidi ndani. Nikapewa kondom kisha nikamuuliza kwani unazo kondomu nyingine akanitolea boks na zingine kwenye pochi yake ya kazi, akauliza unatumia ngapi nikupe?

Nikasema nilitaka nijue kama unazo nyingi. Nikauliza bila ndomu nikupe ngapi, akasema sinaga mchezo huo hata kwa pesa yoyote. Hapo mtoto ameshakua kama alivyoz\ zaliwa .. Nakumbuka alipo niambia vaa kondomu kwanza na wakati huo akachukua akalimenya ndomu akanivalisha, kilicho endelea sikumbuki ila nacho weza kukumbuka baadaye akanipa boks akanambia vua hiyo weka humu. Hapo nilikua nimetumia ndomu mbili nikachukua na ile ya chini nikatia mule ndani.

Mungu anisamehe ni mara yangu ya kwanza kufanya ujinga huu, nilikua najiona siwezi kamatika ila kwa uzuri wa huyu dem nimekua kiumbe dhaifu kuliko nyuzi ya buibui.

Baada ya yote nashangaa mdada anaanza stori nyinginyingi na anakua mchangamfu sana mpaka nikahisi labda amenihurumia kwakua sina hela na pengine atanirudishia pesa yangu. Ikabidi nimpe ushirikiano wa stori. Akanisimulia sababu za kufanya kazi hiyo na Malengo yake ya kutafuta mtaji. nikamuuliza kwahiyo unapata kiasi gani kwa kila siku, akanambia anapata kuanzia elfu 75 hapo anakua amepata wateja wawili au mmoja wa maana.

Sikutaka stori nyingi nilitamani nitoweke watu wasinione maana ni aibu kwakua hapo watakua wanajulikana na majirani alafu mi naishi mtaa wa pili tu.

Wakati naondoka yule dem katoka kunisindikiza kisha kaniambia .. "Ukiwa boyfriend wangu nitakua nakupa bure kila siku". Gafla nikamuuliza, unataka niwe bwana wako akajibu ndio .. mh. Inawezekana vipi niwe bwana wake, yaani Malaya anakuwaje na bwana? sasa anataka nini kwangu? sina pesa alafu analala na wanaume kila dizaini sasa bwana wa nini tena? Amekosa nini huyu ambacho atakipata kwangu?

Niliishia kumwambia tutawasiliana, karundi akisema amepata mteja hivyo anaondoka. Mi nikasepa zangu mawazo tele kichwani nikiwaza hatma yangu kwa dhambi hii. Ilipofika usiku saa tano naona simu yake, Anauliza mbona hauja nimbia kama umefika salama? nikajibu niko poa, akauliza uko na nani? Niko pekeangu, akaniaga akasema tutaonana kesho.

Ilipofika asubuhi napigiwa simu kusalimiwa. Namuuliza habari ya kazi, tofauti na kwaida yake anajibu kwa kujilazimisha.
Nilipokua mjni katika mishe zangu, anapiga simu nimwambie nilipo, akaja tukaenda kula akalipia msosi, nilijaribu tena kumuuliza ili nijue na jana pia kaingia pesa ile aliyo nambia? lengo langu ni kumshauri na kumsisitiza afanye kazi yake kwa malengo kama alivyo nieleza, tofauti na kawaida yake anapata taabu kujibu swali na anaonesha wazi hapendi nimuulize maswali au tuzungumzie hiyo kazi yake.

Kuna hali flani anaonekana nayo kwa sasa, ananionea aibu flani na muda mwingi anakaa kimya kama kunitegea hivi na hapendi nimuangalie usoni. Binafsi nimemzowea na najaribu kumuona wa kawaida. Kuhusu kuwa wapenzi binafsi naogopa kutokana na hiyo kazi yake hasa kwakujali afya yangu, nimemwambia swala la kupima afya kanambia yuko tayari na atalipia yeye garama zote.

Swali najiuliza kama tutapima na awe anaendela na kazi yake sasa inamaana gani? Najiuliza kwangu kapenda kitu gani? Mbona anapata vyote kwa faida?

Swali nalopenda mnisaidie. Hivi Malaya nao wanakuwa au wanahitaji mpenzi wa kudumu? Wakazi gani? Hapo nafanyaje?

Naombeni ushauri jamani hili limenitokea mimi na sio mwingine na sitaki kusingizia, ooh kuna rafiki yangu ilitokea vile na vile no, ni mimi hapa tena juzi jumaosi tu.
Kwanza kabisa fahamu hitaji lake ni nini mpaka kaingia kwenye hiyo biashara.
Pili nini anataka toka kwako?
Natumaini hata awe Malaya vipi, hiyo tabia anaweza kuacha kama kinachomsukuma kufanya umalaya atakipata toka kwako au kwa kushirikiana na wewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nawashukuru sana kwa mawazo yenu nyote. Kila ushauri umezingatiwa kwa ukubwa wake. Asante
 
Kiongozi Nakushauri usimtenge huyo mdada..kafika hatua anayotaka kua na mtu wa kumthamini na kumpenda. Everyone needs to belong to someone.

Hakuna binaadamu mkamirifu..kila binaadamu past yake inanuka, mvumilie inawezekana wewe ni malaika wake wa ukombozi umetumwa ukamtoe huko kwenye hiyo hali. Kuna jamaa alikua anaitwa Sauli, huyu jamaa alikua ni mshenzi kuliko ushenzi..kateketeza watu. Lakini baadae alibadirika akawa mtu mashuhuli na mwanafalsafa mkubwa duniani (Yupo namba 3). Kawaacha hata wale waliokua ni bora (mitume 12) katika utendaji kazi.Hakuna mtume aliyefanya kazi kubwa kama Paulo

Nakushauri kua nae usimtenge..usijali watu watakuonaje, fanya kazi uliyopewa na Mungu ya kumtoa huko..utasaidia wengi wanaomzunguka. Past au present ya huyo mdada isikufanye u determine future yake.
Kila mtu mapito yake yananuka..Endelea kua nae.
Niwekesawa hapo mkuu Paulo alikuwa sehemu ya manabii 12 alichukua nafasi ya Yuda baada ya kujinyonga walikuwa watu 2 wakiombania hiyo nafasi Paulo na Justus kama sikosei zilipigwa kula nawale manabii 11 waliobaki ndipo paulo alipoingia hapo.
 
Niwekesawa hapo mkuu Paulo alikuwa sehemu ya manabii 12 alichukua nafasi ya Yuda baada ya kujinyonga walikuwa watu 2 wakiombania hiyo nafasi Paulo na Justus kama sikosei zilipigwa kula nawale manabii 11 waliobaki ndipo paulo alipoingia hapo.
Hapana mkuu nafasi ya yuda ilichukuliwa na mathiya matendo 1 :26
Paulo ni mtume tofauti na wale 12
 
Back
Top Bottom