unguja Member Joined Jul 11, 2015 Posts 40 Reaction score 22 Oct 12, 2016 #1 Habari zenu wakuu. kama kuna mdau ana namba zozote za kina dada poa jamani naomba anipatie hapa, p/se guys msaada wenu wadau.
Habari zenu wakuu. kama kuna mdau ana namba zozote za kina dada poa jamani naomba anipatie hapa, p/se guys msaada wenu wadau.
kijana wa leo JF-Expert Member Joined Nov 28, 2011 Posts 3,072 Reaction score 7,512 Oct 12, 2016 #2 Invisible
mjumbe wa bwana JF-Expert Member Joined Sep 19, 2016 Posts 5,287 Reaction score 6,186 Oct 12, 2016 #3 kijana wa leo said: Invisible Click to expand... unataka azawadiwe ban sio
kijana wa leo JF-Expert Member Joined Nov 28, 2011 Posts 3,072 Reaction score 7,512 Oct 12, 2016 #4 mjumbe wa bwana said: unataka azawadiwe ban sio Click to expand... Uzi kama hizi zinatakiwa kupigwa ban, watu wanaweka namba za malaya kweli na vijana wanaenda kujizolea magonjwa huko.
mjumbe wa bwana said: unataka azawadiwe ban sio Click to expand... Uzi kama hizi zinatakiwa kupigwa ban, watu wanaweka namba za malaya kweli na vijana wanaenda kujizolea magonjwa huko.
mjumbe wa bwana JF-Expert Member Joined Sep 19, 2016 Posts 5,287 Reaction score 6,186 Oct 12, 2016 #5 kijana wa leo said: Uzi kama hizi zinatakiwa kupigwa ban, watu wanaweka namba za malaya kweli na vijana wanaenda kujizolea magonjwa huko. Click to expand... kweli kabisa alafu ni ujinga mtupu si aende huko wanakojiuza akajilokote litaka taka lake likamuue na UKIMWI
kijana wa leo said: Uzi kama hizi zinatakiwa kupigwa ban, watu wanaweka namba za malaya kweli na vijana wanaenda kujizolea magonjwa huko. Click to expand... kweli kabisa alafu ni ujinga mtupu si aende huko wanakojiuza akajilokote litaka taka lake likamuue na UKIMWI
jogi JF-Expert Member Joined Sep 25, 2010 Posts 25,556 Reaction score 25,368 Oct 12, 2016 #6 kijana wa leo said: Uzi kama hizi zinatakiwa kupigwa ban, watu wanaweka namba za malaya kweli na vijana wanaenda kujizolea magonjwa huko. Click to expand... Pia wanaweza weka namba ya mkeo ukajikuta jela maisha inakuhusu.
kijana wa leo said: Uzi kama hizi zinatakiwa kupigwa ban, watu wanaweka namba za malaya kweli na vijana wanaenda kujizolea magonjwa huko. Click to expand... Pia wanaweza weka namba ya mkeo ukajikuta jela maisha inakuhusu.