Changia Maoni Yako ya Katiba Hapa

Watz tumesha chakachuliwa,wamepewa mapesa mengi ya kodi zetu wanafanya mchakato kwa siri kubwa hawana uwezo wa kuitisha mkutano zidi ya wananch wana kimbilia kwenye mahoteli ya kitalii na wanaingia wakiwa wameng'a pamba na suti,mimi ntaruhusiwa kuingia na mayeboyebo,nguo za viraka ambazo miez6 iliyopita nilizifulia mton na sabuni ikiwa majan ya mpapai ndio sabun.maon yangu ntakua nauhakika gani kama yatafika napo pataka kama rais nimpaka axapitie.mwenyekiti mwenyewe ni wazir mkuu mstafu na anakad ya ccm,ushaur wangu nikua kama muwakirishi wa wananchi ni rais,mbunge,diwan. Kwanini wasipewe kazi hiyo ya kutuwakilisha?Mkuu wa mko na wilaya ninan kwetu?mi simjui hata mkuu wa wila yangu.hapa hakuna chakatiba wala nini.tunataka tume huru na daftar la mpiga kura full stop
 
Back
Top Bottom