NGAYANIMO
Member
- Feb 17, 2026
- 36
- 55
Namshukuru Mungu Leo Me Niko hapa , Number One Hip hop star sio Tu Raper/
The "Mcee" kwenye Em - cee , Wanakubali kwa hiyari sio kwamba Na force/
J.O.H M.K.A Ena ndani ya Sound za " Mo" Records/
Ninapotia Team Wana Disappear/ Sio Makosa Yao wananihofia Jeah..!!
Vocal Zangu zinangusa Hata Wale , Ki Umri Wa kubwa ki Fan hawaja Barehe
Niko Hapa Kwa Ushindi So Sare , Nina Hustle Ni Make na Kisha Ni Starehe/
Mapinduzi ni Wazi Tayari Anzia Uandishi , Mistari Mpaka hizi Flow/
Leteni Dili za Maana msianye Sababu Mchongo uliobaki Ni ku Make Doo/
Sio Tu leo watu Waangalie na Kesho , Acheni michosho, Acheni minyenyusho/
Leteni Hizi Mambo na Commercial Na Hard Core , Watu Tutaingia Ngizani Waaze kuwaumiza Makoo