mswele
JF-Expert Member
- Dec 18, 2014
- 687
- 419
Habarini wakuu..
Kuna hilo Jambo ambalo lipo na limetokea Kwa wengi ambapo unajiunga kifurushi aidha Kwa tigopesa au salio unakatwa pesa tigo wanarudisha msg kuwa tayar wamekuunga halafu kumbe hawajakuuunga.
Sasa inakuja pale unapotaka kupiga simu unaambiwa huna salio la kutosha mbaya zaidi wanatuma msg Kwa mtu ulietaka kumpigia kuwa ulijaribu kupiga lkn hukua na salio je huku si ni kudhalilishana Kwa pesa yako mwenyewe?
Ukipiga customer care wanakwambia subiri 48 hrs utarudishiwa pesa au kifurushi chako kuna tatizo la kiufundi mbona hawatoi taarifa Kwa wateja km msijiunge kuna tatizo leo
Sasa Mimi muda wa ku track salio langu kwenye tigopesa ninaupata wapi.
Imagine two days nashindwa kupiga simu au kutuma SMS.
@tigotanzania
Kuna hilo Jambo ambalo lipo na limetokea Kwa wengi ambapo unajiunga kifurushi aidha Kwa tigopesa au salio unakatwa pesa tigo wanarudisha msg kuwa tayar wamekuunga halafu kumbe hawajakuuunga.
Sasa inakuja pale unapotaka kupiga simu unaambiwa huna salio la kutosha mbaya zaidi wanatuma msg Kwa mtu ulietaka kumpigia kuwa ulijaribu kupiga lkn hukua na salio je huku si ni kudhalilishana Kwa pesa yako mwenyewe?
Ukipiga customer care wanakwambia subiri 48 hrs utarudishiwa pesa au kifurushi chako kuna tatizo la kiufundi mbona hawatoi taarifa Kwa wateja km msijiunge kuna tatizo leo
Sasa Mimi muda wa ku track salio langu kwenye tigopesa ninaupata wapi.
Imagine two days nashindwa kupiga simu au kutuma SMS.
@tigotanzania



, bila aibu