Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 46,407
- 102,444
Mara chache sana kuziota, most times niki amka nakuta mzigo usha jifanyia service.Night mare
Bro,hiyo sio big issue,wewe endelea na maisha yako,muhimu tafuta patna wako mmoja uenjoi nae maisha.Itajirekebisha yenyeweWakuu nimekuwa nakumbwa na changamoto ya kumwaga mbegu, kila ninapo lala usingizini.
Changamoto hii ina kama miezi kadhaa, mwanzoni nili dhani ni issue normal pengine ni kutokana na issue za semen retention au wenge la ukuaji.
ila kadri siku zilivyo kwenda mambo ni yale yake, kila niki lala nakitupa tu.
.
Nili jaribu kwenda kwa mtaalamu wa afya ya uzazi, akaishia kuni ambia masuala ya hormone imbalance, sijui sex appetite iko juu hivyo nishushe.
nime fanya hivyo, ila bado kadhia ipo. Je nini chanzo na kuna suluhisho zaidi?
I mean no malice to nobody
View attachment 3586024
Wafungwa wameanza kuvunja gareza.Tafuta pa kupunguza huo uji! Chupa limejaa
Ona sasa....Wakuu nimekuwa nakumbwa na changamoto ya kumwaga mbegu, kila ninapo lala usingizini.
Changamoto hii ina kama miezi kadhaa, mwanzoni nili dhani ni issue normal pengine ni kutokana na issue za semen retention au wenge la ukuaji.
ila kadri siku zilivyo kwenda mambo ni yale yake, kila niki lala nakitupa tu.
.
Nili jaribu kwenda kwa mtaalamu wa afya ya uzazi, akaishia kuni ambia masuala ya hormone imbalance, sijui sex appetite iko juu hivyo nishushe.
nime fanya hivyo, ila bado kadhia ipo. Je nini chanzo na kuna suluhisho zaidi?
I mean no malice to nobody
View attachment 3586024
Kaka kwa wiki naweza enda hadi mara 4-5, kuhusu kiwango cha mchuzi ni mwingi mno.Same volume?
Same thickness?
Same color?
Everyday?
Kaka mimi sio muumini wa Chaputa gang, ila nashangaa hii kadhia imekomaa na mimi aisee.Wahi tiba, kama ni mtu wa punyeto acha.
Ukisex unatumia muda gani kumwaga?Kaka kwa wiki naweza enda hadi mara 4-5, kuhusu kiwango cha mchuzi ni mwingi mno.
I swear sio utani mkuu, ninge weka picha ya boxer ka uthibitisho sema itakuwa jau tu.Humu watoto wengi mno
Cha kwanza 10,15 minutes huko, hayo mengine ni msala kidogo lazima ichukue mda.Ukisex unatumia muda gani kumwaga?
Kaka mimi sio muumini wa Chaputa gang, ila nashangaa hii kadhia imekomaa na mimi aisee.
Hata huyo specialist wa afya ya uzazi alisema hilo, we even made a schedule namna ya kusolve ila still ngoma iko pale pale.Tafuta pa kupunguza huo uji! Chupa limejaa