sheremaya
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 4,452
- 10,930
Shukrani mkuu nilikua sifahamu kuhusu Hilo jambo.Zile reference no BLF0FV2CHYBU ziki badilika huo ni muamala mpya
Shukrani mkuu nilikua sifahamu kuhusu Hilo jambo.Zile reference no BLF0FV2CHYBU ziki badilika huo ni muamala mpya
Wengine unakuta wamekalili namba ya wakala wake kichwaniKuna watu waponsharp utafikiri wao wenyewe ni mawakala
Dk 2 tu keshsatoa pesa kwa wakala
pesa unapata bila shida.Asee nimetoa pesa kimakosa kwa wakala ikaenda kwa wakala mwingine ..nime wapigia voda wamesema wameizuia na nisubiri ndani ya masaa 24 .
Je kuna alie wahi kukutwa na shida kama hii na akafanikiwa kupata pesa zake ?
Sawa mkuu nme pata somoPesa inarudi, Ila uwe muangalifu kama siku nyingine mkuu.
Usiombe ikutokee ukiwa safarini na ndio pesa pekee unayotegemea....Asee nimetoa pesa kimakosa kwa wakala ikaenda kwa wakala mwingine ..nime wapigia voda wamesema wameizuia na nisubiri ndani ya masaa 24 .
Je kuna alie wahi kukutwa na shida kama hii na akafanikiwa kupata pesa zake ?
Kama umeambiwa usubili basi kuwa na subila hiyo bado ni haki yakoAsee nimetoa pesa kimakosa kwa wakala ikaenda kwa wakala mwingine ..nime wapigia voda wamesema wameizuia na nisubiri ndani ya masaa 24 .
Je kuna alie wahi kukutwa na shida kama hii na akafanikiwa kupata pesa zake ?