Changamoto ya kukosea muamala

Changamoto ya kukosea muamala

Mayor of kingstown

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2017
Posts
2,921
Reaction score
4,215
Asee nimetoa pesa kimakosa kwa wakala ikaenda kwa wakala mwingine ..nime wapigia voda wamesema wameizuia na nisubiri ndani ya masaa 24 .
Je kuna alie wahi kukutwa na shida kama hii na akafanikiwa kupata pesa zake ?




MAREJESHO
pesa zangu zimerudi lakini imerudi ile ilio toka tu .makato wamebaki nayo Shukrani kwenu wote mlio niondolea wasi wasi na pia tuzidi kuwa makini
 
Pesa inarudi, Ila uwe muangalifu kama siku nyingine mkuu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom