Changamoto ya dini katika mahusiano!!

Mmmmmh
Unataka kubadili dini kwa sababu ya Papuchi? Unaweza badili lakini jibu maswali haya

1). Nani alimtongoza mwenzake
2). Nani alilipa mahari
3). Nani ni kiongozi wa mwenzake
4). Nani anamuhudumia mwenzake kiuchumi na kijamii

Ukiwa wewe ndo unahudumiwa BADILI lakini kama unahudumia KUBADILI ni dalili ya UDHALILI! Fikiri tena
 
Jadilin kwanza wenywe swala la kubadili dini ili moune Nan yuko tayar kubadili then mtaenda kwa wazaz
 

Ndoa za namna hiyo utasukumwa na mihemuko lakini huko mbeleni itakugharimu. Oa mtu ambaye mtakuwa dini moja, la sivyo watoto wanaenda kupoteza uelekeo. Nimeona wengi walioanza kama wewe lakini sasa hivi wanajuta.Na mara nyingi ikitokea mmekosana na mke atarudi tena kwenye dini yake.
 
A gud student is the one who do prohibited things. Ingia humo uje uwe mwalimu mzuri
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…