mtafiti05
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 956
- 594
Wamebaki kutapatapa tu, Mara wenye elimu za kuunga kufukuzwa kazi, yaana hata hayajui nn yanachokfanya kila kitu majarbio, hata wapunguze nusu watumishi bado tatzo lipo maana hawawez kuajir wote wanaohtajka! Dawa yao wanyimeni kura 2020 ili angalau aje mwngne kwan atakuwa amejifunza mengi ktk uongoz huu wa hovyoooooo
Uongoz kama kaya ya MTU, maana hakna taarfa kwa umma!
Uongoz kama kaya ya MTU, maana hakna taarfa kwa umma!