Wabongo mbona wagumu kuelewa mkasome public notice ukimaliza fuatilia jana JK kasemaje na kuhusu ajira zipo kila cku kwenye mitandao au kada yako co marketable
Public notes iko wap ndugu?Wabongo mbona wagumu kuelewa mkasome public notice ukimaliza fuatilia jana JK kasemaje na kuhusu ajira zipo kila cku kwenye mitandao au kada yako co marketable
Hawa waliopo tu kwenye system anawaona mzigo anatafuta kila namna ya kuwapunguza, ikiwa ni pamoja na kuwatuma watendaji wake wawatukane wawanyanyase wawaite watembea ma hirizi ili mradi tu kuzua tafrani maofisini wakufukuze kazi, watanzania tulisahau kale ka msemo ka wahenga kuwa "Masikini akipata Matako hulia mbwata" na aliyeshiba hamjui mwenye njaaHakuna ajira huyu jamaa na serikali yake hawana jipya na wala uwezo wa kuajili watu wapya so msipoteze muda wenu kupost maswala ya ajira tafuta ishu zingine za kufanya.
We Musa acha kuongea upumbavu,madaktari tu hawajaajiriwa unasema counseling officers !!! Hebu tuambie ni lini na wizara gani ya serikali imetangaza ajira mpaka sasa! Tupe Link tusaidie kuwatafutia wadogo zetu other wise unafanya polojo msibaniHIV guidance and counselling, Marketing, maafisa ugani na kadhalika nyingine tafuta mwenyewe
....tena ulimchagua kwa mbwembwe zote!


Tatizo la Ajira si la kupepesa Macho kukili kuwa litakua ni la kudumu, hebu tujirudishe nyuma kidogo enzi za JK ambae alikua akitoa ajira kila mwaka karibu kwa kila kada lakini bado tatizo la ajira lilikuwepo kwa ukubwa tu, je huyu ambae anafungamanisha wahitimu bila kuwaajiri hata robo yake atasababisha crisis kiasi gani? Tuna output 2 mtaani za vyuo vikuu walio maliza mwaka Jana na wale waliomaliza mwaka huu achilia mbali wale wa Diploma etc. Sasa tujiulize je ataweza kutoa ajira kwa output hizi mbili at once? Huku nyingine ikimkaribia kwa mwaka huo huo 2017 by JulyAlieuliza kuhusu ajira kama ni tatzo la kudumu au la!
Hali inaonesha tatzo hli mpaka mwakan ndo litafikiliwa,
Nasema hivi kwa sababu hata waliorejeshwa kazn waliokuwa na check No. Wahanga WALIOSITISHIWA ajira June wamerudishwa tena nyumbani kwa Mara ya pili!
Watumishi hawa waliriport mwanzon mwa November mwezi huu, wamefanya kazi nusu mwez tu na wamerejeshw tena home,
Chanzo wao wenyewe,watakuja wafafanue zaid kilichowakuta kwa Mara ya pili!