As we move forward, truth is serious endangered in our country.
Eeeh ndo yeye. Ulisahau Sani?Hivi Dr Love si ndio a.k.a Pimbi?!!
Sent from my iPhone using JamiiForums
Pesa za mifuko ya pensheni zililiwa na viongozi na kuanzisha miradi isiyo na thamani halisi awamu zilizopita.Mweshimiwa Maghufuli kwa sasa kweli ana msalaba mzito maana ,pesa zimeliwa,miradi iliyoanzishwa karibuni yote ni hasara...Sio kama ataki,ni kuwa anatafuta mbadala ili pesa zipatikane wastaafu wasife njaa.Mweshimiwa rais anajitaidi sana ila ana watu wa kumsemea na kueleza hali halisi.Hii nchi imetafunwa sana.Na kuna madudu mengi kwa yeye anayeyajua kweli acha akose usingizi....manaana ajamaliza hili lingine lina jitokeza..Mungu amtie nguvu na hekima katika kuiongoza nchi hiiHuu sasa ni utani..!! Trillion 4..! anajenga Reli ya SGR toka makotopora mpaka Tabora hiyo hela jamani..! Mifuko itakufa kama watendaji wataruhusu wawaingize wanasiasa ili wapige hela maana wanasiasa wana sura mbili kila sehemu wao wanataka kula
Na wewe umeelewa swali? Kumbuka nilitaka kujua imejadiliwa au bado
kuna document iliwai kaa bungeni masaa tu,ikafutiliwa mbali...imejaa madudu ambayo ukiyasoma Dau anastaili kufungwa maisha yeye na washirika wake na kutaifishwa mpaka makobaz yake...sema tu aiwezekani kuiweka hapa ila kwakeli kwenye hili Baba Maghufuli tuna mlaumu bureMsema kweli ni mpenzi wa Mungu..... Yaani serikali ilipe hela walizokula akina Dau na mwenzie Manji?!
Pesa za mifuko ya pensheni zililiwa na viongozi na kuanzisha miradi isiyo na thamani halisi awamu zilizopita.Mweshimiwa Maghufuli kwa sasa kweli ana msalaba mzito maana ,pesa zimeliwa,miradi iliyoanzishwa karibuni yote ni hasara...Sio kama ataki,ni kuwa anatafuta mbadala ili pesa zipatikane wastaafu wasife njaa.Mweshimiwa rais anajitaidi sana ila ana watu wa kumsemea na kueleza hali halisi.Hii nchi imetafunwa sana.Na kuna madudu mengi kwa yeye anayeyajua kweli acha akose usingizi....manaana ajamaliza hili lingine lina jitokeza..Mungu amtie nguvu na hekima katika kuiongoza nchi hii
Haikosi hawa wapinzani ndio waliwekeza fedha za hii mifuko kwenye miradi mibovu!!
Sasa hivi chama tawala kinarekebisha mambo ili hii mifuko isichezewe tena na hawa wapinzani!!
Sijui naota!!
Ukimaliza kuota kajiharishie na kakojoe kisha ukalale tena,ili uendelee kuota.angalia usikojoe kitandani
Sent from my iPhone using JamiiForums
Kwaiyo mleta habari ni mwana kamati wa hizo kamati za bunge?Kwani kwenye bunge mijadala inaanzia wapi? Mijadala inaanzia kwenye Kamati kabla haijapelekwa kwenye Bunge zima. Sasa hivi kamati za bunge ndio zinazokutana kabla ya kikao kamili cha Bunge. Sasa usiulize tena source ya taarifa husika!!
Acha utani ndugu, hizo tr 4 hao unaowatuhumu wamezifanyia nini? Huwezi kutuhumu Manji na Dau bila kuihusisha CCM na Serikali yake. Dau ni balozi , Manji yuko humu nchini anakula maisha. Kwa nini usituambie zilitumika kuijenga UDom na nyinjgine CCM?Msema kweli ni mpenzi wa Mungu..... Yaani serikali ilipe hela walizokula akina Dau na mwenzie Manji?!
Ukitumia neno 'huyu Mzee' tayari unamkosea adabu Mtu yeyote wa rika lake.Huyu mzee wakati alipokutana na wadau kuzungumzia kikokotowo si alisema kuwa alipoingia madarakani alikuta madeni ya matrilioni kwenye mifuko ya Jamii na akazilipa na sasa zimebaki bilioni chache tu?
Sasa hii taarifa ya kuwa kuna deni la Trilion 4 imekaajekaaje? AU huyu mzee siku ile alitupiga kamba?
Msema kweli ni mpenzi wa Mungu..... Yaani serikali ilipe hela walizokula akina Dau na mwenzie Manji?!
Kwaiyo mleta habari ni mwana kamati wa hizo kamati za bunge?