Changa la macho Magufuli kagoma kulipa mifuko ya jamii Tril 4, mafao shakani na mifuko kufa japo wameunganisha

Iko kazi. Mimi nimefuatilia sana mafao ya mdogo wangu ambaye ameishakuwa kipofu na nategemea tu hela za mafao lakini licha ya kwenda ofisi ya LAPF safari kumi napigwa dana dana tu. Hela ni zake na zinasomeka kwenye system kiasi anachodai lakini mpaka leo hakuna kilichotekelezwa. Serikali tafadhali walipeni Wastaafu mafao yao. Mungu anawaona na adhabu ni hapa hapa duniani.
 
Tatizo wanasiasa wetu hawajielewi. Wananchi na sisi hatujielewi. Wanaotudanganya wanajua wanatudanganya tena kwa maksudi. Tunaodanganywa tunajua tunadanganywa tena kwa maksudi! Lakini hakuna mwenye uthubutu wa kumuwajibisha mwenzake.

Sioni mwanga huko tuendako! Itafika kipindi, wanasiasa wataanza kupambana na kuthibiti Ukweli. Kwa sababu haya yote yanayofanyika, watataka kutuaminisha kwamba hayafanyiki. Lakini si rahisi kuushinda Ukweli. Ipo siku utadhihirika.

As we move forward, truth is serious endangered in our country.
Unabisha nini wewe, mpaka sasa hakuna pensheni za wastaafu. Mwezi huu hakuna malipo, pesa haipo, labda azinduke baada ya presha kutoka kwa wadau! Lakini ni kuwa hakuna hela za kulipa monthly pensheni!
 
Iko kazi. Mimi nimefuatilia sana mafao ya mdogo wangu ambaye ameishakuwa kipofu na nategemea tu hela za mafao lakini licha ya kwenda ofisi ya LAPF safari kumi napigwa dana dana tu. Hela ni zake na zinasomeka kwenye system kiasi anachodai lakini mpaka leo hakuna kilichotekelezwa. Serikali tafadhali walipeni Wastaafu mafao yao. Mungu anawaona na adhabu ni hapa hapa duniani.
Wengi watakufa kabla ya kuxipata

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Baba kujua kila kitu ujuaji huo angeupeleka kwenye uchumi tungekuwa dona kantri,hakuna ujuaji Zaid ya kupambana na watu kuliko kupambana na maendeleo.
Unabisha nini wewe, mpaka sasa hakuna pensheni za wastaafu. Mwezi huu hakuna malipo, pesa haipo, labda azinduke baada ya presha kutoka kwa wadau! Lakini ni kuwa hakuna hela za kulipa monthly pensheni!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pesa zilizotumika kuhamia central ambapo kuhamia huko hakumsaidia bibi yangu mlima mbaazi zimetumika kuinua elimu iliyokufa kunge epusha aibu hii ya matokeo ya kidato cha NNE,au zingelipa wastaafu wangapi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona magazeti yaliandika serikali imelipa hayo madeni kabla hata ya hiz kelele za kikokitoo ?
tatzo sasa hv kila mtu mwenye kimeo chenye operamini ni mwandishi wa habari.
UPOTOSHAJI NI MKUBWA SIKU HZ KWASABABU YA KILA MTU NI MWANAHABARI .
 
Kubwa la majizi linataka kudhulumu tena triilion 4 za wafanyakazi nchini. Cha kushangaza linajipiga kifua eti ni rais wa wanyonge! Huku likiwa busy kila uchao kuwadhulumu wanyonge hao wakiwemo wakulima wafanyakazi na wafanyabiashara.



Kumekucha. @bunge_tz kwenye ripoti ya CAG kasema Serikali inakataa kuzilipa Social Security Funds TRILIONI 4 na katoa ONYO zitashindwa kufidia wafanyakazi na zita filisika. Bunge linalosimamia haki zetu sijasikia azimio lenu wala mjadala kwa hili. Akisema huu ni udhaifu kakosea?
View attachment 1005860
 
CAG hawezi kuandika ripoti iliyo na upotoshaji dhidi ya Serikali. Siku zote ulijue hilo.

Mbona magazeti yaliandika serikali imelipa hayo madeni kabla hata ya hiz kelele za kikokitoo ?
tatzo sasa hv kila mtu mwenye kimeo chenye operamini ni mwandishi wa habari.
UPOTOSHAJI NI MKUBWA SIKU HZ KWASABABU YA KILA MTU NI MWANAHABARI .
 
Mbona magazeti yaliandika serikali imelipa hayo madeni kabla hata ya hiz kelele za kikokitoo ?
tatzo sasa hv kila mtu mwenye kimeo chenye operamini ni mwandishi wa habari.
UPOTOSHAJI NI MKUBWA SIKU HZ KWASABABU YA KILA MTU NI MWANAHABARI .
Inawezekana kilicholipwa ni malimbikizo ya michango ya Wafanyakazi wa Serikali. Hapa inazungumziwa fedha serikali ilizokopa ili kutekeleza miradi ya maendeleo kama ujenzi wa Udom nk

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom