kaachana na ile ya gongo
Hata wakiihamishia IKULU tutawafuata tu.
Hata wakiihamishia IKULU tutawafuata tu.
hata wakienda ughaibuni hukumu hiyo itatikisa arusha.kwa nini hatukubali kuwa A-town ni ngome ya CDM?Tukumbuke kuwa chanzo cha rufaa ya kesi hii ni kuepusha hukumu mbovu isitumike kama reference na sio kuanguka kwa CDM arusha.
Nafikiri kucheza rafu ni kujisumbua kwani tunachoamini CDM wakaweka jiwe na Magwepande wakaweka BB wao jiwe la CDM lazima lishinde.Magamba wanataka kucheza rafu tena.
Wakuu,
Mimi hapa HULL nasoma soma moja linaitwa Business Law. Katika moja ya vitu ambavyo Prof wetu ametu lecture ni kwamba always case is runned near to the court where the crime was committed. Na alisisitiza hiyo ni Stand of the Law. Ndiyo maana hata ile kesi ya kuuwawa kwa Mwangosi imefunguliwa Iringa na siyo Mbeya, Dodoma au Dar es Salaam.
Kwa msingi huo sidhani kama ni ethical kupeleka hii kesi ikasikilizwe na kuhukumiwa Dar es Salaam. Kamanda Tundu Lissu, najua upo kwenye msiba lakini kama unanisoma, sijui unaionaje hii hoja. Nadhani kuna haja ya kupinga hiyo hoja based on this 'Prominent Jurist Argument'
Nakala: Matola, Kimbunga, Ngongo, Mungi, Crashwise, Candid Scope, Mwita Maranya, Molemo, nk
TUMBIRI (PhD In Progress at HULL, CPA(T), MBA(UDSM), Bcom(UDSM), PCM(Mzumbe High School - 2[SUP]nd[/SUP] Best Student in Form Six National Exams)),
tumbiri@jamiiforums.com
Priority ya majaji wetu si wanachi wanaoguswa na haki, bali ni kazi zao hapa Dar
hebu jiulize ile kesi ilifunguliwa na nani>? wanaarusha
kesi ianhusu nini?? mbunge wa arusha
kesi ilifunguliwa wapi? Arusha
kesi inaathiri nani?? arusha
kesi imejadiliwa wapi?? arusha
hukumu?? dar
niliposoma tu kwamba akina chande wanaingia kwenye hiyo kesi nikajua sheria pembeni siasa kati
Kesi ilkuwa inasikilizwa Arusha na wakili wa Lema ndiye aliyeomba isitishwe kusikilizwa kwa dharura waliyopata.
Wakuu,
Mimi hapa HULL nasoma soma moja linaitwa Business Law. Katika moja ya vitu ambavyo Prof wetu ametu lecture ni kwamba always case is runned near to the court where the crime was committed. Na alisisitiza hiyo ni Stand of the Law. Ndiyo maana hata ile kesi ya kuuwawa kwa Mwangosi imefunguliwa Iringa na siyo Mbeya, Dodoma au Dar es Salaam.
Kwa msingi huo sidhani kama ni ethical kupeleka hii kesi ikasikilizwe na kuhukumiwa Dar es Salaam. Kamanda Tundu Lissu, najua upo kwenye msiba lakini kama unanisoma, sijui unaionaje hii hoja. Nadhani kuna haja ya kupinga hiyo hoja based on this 'Prominent Jurist Argument'
Nakala: Matola, Kimbunga, Ngongo, Mungi, Crashwise, Candid Scope, Mwita Maranya, Molemo, nk
TUMBIRI (PhD In Progress at HULL, CPA(T), MBA(UDSM), Bcom(UDSM), PCM(Mzumbe High School - 2[SUP]nd[/SUP] Best Student in Form Six National Exams)),
tumbiri@jamiiforums.com