Naomba kufahamu hiyo interview inapigwaje pepa au oral coz sijawah kusikia wala kuona interview ya atu wengi kama hii sipo kwene mchakao ni kutaka ufahamu tu
Hata km ndo itakuwa written hv kweli watasahihisha hzo pepa zote?au ndo tunadanganywa??Afisa hakuna anayejua nini kitatokea huko, hawajatoa maelezo yoyote ya ziada zaidi ya kutaja majina, eneo la interview na muda. Chochote chaweza kutokea huko.