nilisoma Gazeti silikumuki alishaanza kusema akirudi atabadili wachezaji kama 7. Mimi nadhani angeabaki na kikosi chake, kubadilibadili kila siku wachezaji wapya uzoefu wa mashindano ya kimataifa unakuwa hakuna. Na hilo gazeti waliandika ana bifu na Maftah, Idd na Moshi