CHAMI: Sigombanii tena ubunge..

CHAMI: Sigombanii tena ubunge..

chakuu

Member
Joined
Jan 10, 2014
Posts
32
Reaction score
2
​Habar kutoka kwa mtu wa karibu na Dr Syril Chami zinasema kwamba hatogombea tena kiti cha ubunge uchaguzi ujao katika jimbo lake la Moshi vijijini....

Dr. Syril Chami anamaliza muda wake wa awamu ya pili katika kiti hicho hv sasa... sababu ya kutaka kufanya hvyo ni kuwapa watu wengine wenye nia ya dhati kuendeleza gurudumu hilo...

Anachotaka kukifanya Mheshimiwa ni moyo wa kujali watu wengine au maji yamefika shingoni????.. nawakilisha!!
 
Yuko xawa kabxa cs uongz ni kama mbio za vjt itafka tym unatakiwa umkabdh mwnzako
 
Lipi jema kwako? akiendelea utasema anangangania madaraka. Sasa ametangaza kutokugombea maji yamefika shingoni? Hii ndiyo Tanzania isiyojua lipi la kupongezwa na lipi na kusemewa vibaya.
​Habar kutoka kwa mtu wa karibu na Dr Syril Chami zinasema kwamba hatogombea tena kiti cha ubunge uchaguzi ujao katika jimbo lake la Moshi vijijini....

Dr. Syril Chami anamaliza muda wake wa awamu ya pili katika kiti hicho hv sasa... sababu ya kutaka kufanya hvyo ni kuwapa watu wengine wenye nia ya dhati kuendeleza gurudumu hilo...

Anachotaka kukifanya Mheshimiwa ni moyo wa kujali watu wengine au maji yamefika shingoni????.. nawakilisha!!
 
Kama ni kweli, Big Up Dr. Chami. Kumbuka mwanasiasa mahiri ni yule ana mikakati miwili; Entry and exit strategy!
Otherwise, you wil be like Mugabe, Museveni, Theodone Obiyang etc with no exit strategy end been dictators.
Just little thoughts.
 
​Habar kutoka kwa mtu wa karibu na Dr Syril Chami zinasema kwamba hatogombea tena kiti cha ubunge uchaguzi ujao katika jimbo lake la Moshi vijijini....

Dr. Syril Chami anamaliza muda wake wa awamu ya pili katika kiti hicho hv sasa... sababu ya kutaka kufanya hvyo ni kuwapa watu wengine wenye nia ya dhati kuendeleza gurudumu hilo...

Anachotaka kukifanya Mheshimiwa ni moyo wa kujali watu wengine au maji yamefika shingoni????.. nawakilisha!!

Huyu Chami ubunge wenyewe aliununua...
 
Acha uzushi hapa. Cyril Chami amejiandaa kwa asilimia 100 kugombea tena ubunge 2015 kwa tiketi ya CCM.

Taarifa yangu nina uhakika naye kwa kuwa mpaka sasa amekuwa akipiga kampeni kubwa sana ndani ya CCM kuhakikisha anapitishwa tena.
 
Hata angegombea nani angempa kura kusoma upepo
 
Kwanza hata kuingia kwake kwenye siasa haikuwa nia yake bali kukidha matakwa ya mafisadi kama ambavyo wameingiza watu wengi kwenye siasa wasiostahiki aka gaidi no. 1
 
Lipi jema kwako?
akiendelea utasema anangangania madaraka. Sasa ametangaza kutokugombea
maji yamefika shingoni? Hii ndiyo Tanzania isiyojua lipi la kupongezwa
na lipi na kusemewa vibaya.

"zungumza ww, hapo umezungumza nini kama great thinker?.. ziko pande mbili za kuchangia mada bado huoni... acha kufikiria mita moja ww,, hajazungumziwa mtu vibaya hapa"
 
Yuko xawa kabxa cs uongz ni kama mbio za vjt itafka tym unatakiwa umkabdh mwnzako

Dah....umefupisha nini hapo sasa asee....hiyo xawa....yako si ungeandika tuu sawa? Acha hizo asee jukwaa lina ustaarabu wake hili hizo ni za fb Kule, Sorry ni mtazamo tuu lakini
 
Dah....umefupisha
nini hapo sasa asee....hiyo xawa....yako si ungeandika tuu sawa? Acha
hizo asee jukwaa lina ustaarabu wake hili hizo ni za fb Kule, Sorry ni
mtazamo tuu lakini

hahahahaa... uko vzr kijana,, haya sasa changia mada kwa maana hujaona hata mada ww imemzingua dogo ukakimbia...
 
Afadhali apumzike akigombea ataibika sana. Hata hao waKibosho wenzake hawamtaki kabisa
 
images
 
Afadhali apumzike akigombea ataibika sana. Hata hao waKibosho wenzake hawamtaki kabisa
 
Back
Top Bottom