​Habar kutoka kwa mtu wa karibu na Dr Syril Chami zinasema kwamba hatogombea tena kiti cha ubunge uchaguzi ujao katika jimbo lake la Moshi vijijini....
Dr. Syril Chami anamaliza muda wake wa awamu ya pili katika kiti hicho hv sasa... sababu ya kutaka kufanya hvyo ni kuwapa watu wengine wenye nia ya dhati kuendeleza gurudumu hilo...
Anachotaka kukifanya Mheshimiwa ni moyo wa kujali watu wengine au maji yamefika shingoni????.. nawakilisha!!
Dr. Syril Chami anamaliza muda wake wa awamu ya pili katika kiti hicho hv sasa... sababu ya kutaka kufanya hvyo ni kuwapa watu wengine wenye nia ya dhati kuendeleza gurudumu hilo...
Anachotaka kukifanya Mheshimiwa ni moyo wa kujali watu wengine au maji yamefika shingoni????.. nawakilisha!!