Katika wasanii wanaoimba music kwangu Dr. Kinyonga atabaki kuwa mwanamziki pekee ambaye kwake wengine wanafata katka ukanda huu wa EA,Kwa ubora. Huimba wakati mwingine Kiganda ambacho sikifaham, still nasuuzika kwa melody na bits tam. Jamaa anaweza.
Katika wasanii wanaoimba music kwangu Dr. Kinyonga atabaki kuwa mwanamziki pekee ambaye kwake wengine wanafata katka ukanda huu wa EA,Kwa ubora. Huimba wakati mwingine Kiganda ambacho sikifaham, still nasuuzika kwa melody na bits tam. Jamaa anaweza.