Chama kimoja kikubwa cha upinzani chakwamisha mradi wa umwagiliaji wa Tshs 2.5b wilayani Geita

urio f

JF-Expert Member
Mar 31, 2017
302
271
Namna hii maendeleo Tz kuyafikia ni vigumu.Mradi mkubwa wa umwagiliaji ktk eneo la Ibanda/Igaka wilayani Geita umekwama kuanza kwa sababu Chama kimoja kikubwa cha upinzani kinaupinga kwa sababu za kisiasa.Mradi huo wenye thamani ya 2.5 bilioni endapo itafika 1/7/2017 haujaanza kutekelezwa,fedha zitarudi Hazina na kupangiwa kazi zingine.Chama hicho cha upinzani kinaamini kuwa,mradi huo ukitekelezwa,CCM eneo hilo itazidi kuimairika na kushindwa kuiondoa 2020(udiwani).Wanawadanganya wananchi kuwa Mradi ukikamilika watapewa Wachina walime miwa kitu ambacho siyo kweli.Mradi huo ni wa wananchi 100%.Kweli kama upinzani ni huu hatufiki mbali!
 
Namna hii maendeleo Tz kuyafikia ni vigumu.Mradi mkubwa wa umwagiliaji ktk eneo la Ibanda/Igaka wilayani Geita umekwama kuanza kwa sababu Chama kimoja kikubwa cha upinzani kinaupinga kwa sababu za kisiasa.Mradi huo wenye thamani ya 2.5 bilioni endapo itafika 1/7/2017 haujaanza kutekelezwa,fedha zitarudi Hazina na kupangiwa kazi zingine.Chama hicho cha upinzani kinaamini kuwa,mradi huo ukitekelezwa,CCM eneo hilo itazidi kuimairika na kushindwa kuiondoa 2020(udiwani).Wanawadanganya wananchi kuwa Mradi ukikamilika watapewa Wachina walime miwa kitu ambacho siyo kweli.Mradi huo ni wa wananchi 100%.Kweli kama upinzani ni huu hatufiki mbali!
Geita....
Mkuu wa wilaya
Mkuu wa Mkoa
Mbunge
Mkurugenzi
Mwenyekiti wa halmashauri
.........................
Hapo ni kabla ya kumfikia waziri mkuu.
Hebu tueleze ni kivipi hao watu wote hapo juu washindwe kusimamia utekelezaji wa mradi huo mkubwa wa maendeleo...
Halafu,njoo na utetezi wa hoja yako kuwa ni kivipi hicho chama kikubwa cha upinzani kinakwamisha huo mradi mkubwa wa maendeleo....
 
Geita....
Mkuu wa wilaya
Mkuu wa Mkoa
Mbunge
Mkurugenzi
Mwenyekiti wa halmashauri
.........................
Hapo ni kabla ya kumfikia waziri mkuu.
Hebu tueleze ni kivipi hao watu wote hapo juu washindwe kusimamia utekelezaji wa mradi huo mkubwa wa maendeleo...
Halafu,njoo na utetezi wa hoja yako kuwa ni kivipi hicho chama kikubwa cha upinzani kinakwamisha huo mradi mkubwa wa maendeleo....
Akikujibu hapa ndo nitaanza kutoa maoni yangu kwenye hoja zake. Otherwise huyu jamaa anatuona wote humu hamnazo.
 
Namna hii maendeleo Tz kuyafikia ni vigumu.Mradi mkubwa wa umwagiliaji ktk eneo la Ibanda/Igaka wilayani Geita umekwama kuanza kwa sababu Chama kimoja kikubwa cha upinzani kinaupinga kwa sababu za kisiasa.Mradi huo wenye thamani ya 2.5 bilioni endapo itafika 1/7/2017 haujaanza kutekelezwa,fedha zitarudi Hazina na kupangiwa kazi zingine.Chama hicho cha upinzani kinaamini kuwa,mradi huo ukitekelezwa,CCM eneo hilo itazidi kuimairika na kushindwa kuiondoa 2020(udiwani).Wanawadanganya wananchi kuwa Mradi ukikamilika watapewa Wachina walime miwa kitu ambacho siyo kweli.Mradi huo ni wa wananchi 100%.Kweli kama upinzani ni huu hatufiki mbali!
Mbona mkoa mzima wa GEITA una diwani mmoja tu kutoka upinzani! Na mambo yote yanasimamiwa na ccm, sasa kusema upinzani wanakwamiaha, je, wanapata wapi nguvu? Weka sawa , bila hivyo huu ni uongo
 
Namna hii maendeleo Tz kuyafikia ni vigumu.Mradi mkubwa wa umwagiliaji ktk eneo la Ibanda/Igaka wilayani Geita umekwama kuanza kwa sababu Chama kimoja kikubwa cha upinzani kinaupinga kwa sababu za kisiasa.Mradi huo wenye thamani ya 2.5 bilioni endapo itafika 1/7/2017 haujaanza kutekelezwa,fedha zitarudi Hazina na kupangiwa kazi zingine.Chama hicho cha upinzani kinaamini kuwa,mradi huo ukitekelezwa,CCM eneo hilo itazidi kuimairika na kushindwa kuiondoa 2020(udiwani).Wanawadanganya wananchi kuwa Mradi ukikamilika watapewa Wachina walime miwa kitu ambacho siyo kweli.Mradi huo ni wa wananchi 100%.Kweli kama upinzani ni huu hatufiki mbali!
Huu ni ujinga kabisa. Hii nchi tangu tupate Uhuru CCM inakuja na hoja za kipumbafu namna hii ivyo ni visingizio tupu.

Toeñi ujinga wenu hapa nyie uvccm hii nchi imekwma kwa sababu ya Sera zenu za ovyo since Independence
 
Nahisi ni kile chama ambacho viongozi wake wanapigania airtime kwenye misiba ya kitaifa?
 
chama kikuu cha upinzani wa maendeleo ni CCM, kipo kwenye utawala kwa miaka mingi! kazi kubwa ni kutoa ahadi hewa na visingizio visivyo na tija huku wakibebesha lawama vyama vidogo vidogo.
 
Namna hii maendeleo Tz kuyafikia ni vigumu.Mradi mkubwa wa umwagiliaji ktk eneo la Ibanda/Igaka wilayani Geita umekwama kuanza kwa sababu Chama kimoja kikubwa cha upinzani kinaupinga kwa sababu za kisiasa.Mradi huo wenye thamani ya 2.5 bilioni endapo itafika 1/7/2017 haujaanza kutekelezwa,fedha zitarudi Hazina na kupangiwa kazi zingine.Chama hicho cha upinzani kinaamini kuwa,mradi huo ukitekelezwa,CCM eneo hilo itazidi kuimairika na kushindwa kuiondoa 2020(udiwani).Wanawadanganya wananchi kuwa Mradi ukikamilika watapewa Wachina walime miwa kitu ambacho siyo kweli.Mradi huo ni wa wananchi 100%.Kweli kama upinzani ni huu hatufiki mbali!
SIKU ZOTE WAJINGA NDIYO WALIWAO
 
Geita....
Mkuu wa wilaya
Mkuu wa Mkoa
Mbunge
Mkurugenzi
Mwenyekiti wa halmashauri
.........................
Hapo ni kabla ya kumfikia waziri mkuu.
Hebu tueleze ni kivipi hao watu wote hapo juu washindwe kusimamia utekelezaji wa mradi huo mkubwa wa maendeleo...
Halafu,njoo na utetezi wa hoja yako kuwa ni kivipi hicho chama kikubwa cha upinzani kinakwamisha huo mradi mkubwa wa maendeleo....
Wenye mashamba ni wananchi na wamegomeshwa.Je,serikali iwapige mabomu?
 
Peleka ujinga wako lumumba huko dola mnayo nyie eti ss tuzuie semeni pesa za miradi hamna mnasingizia upinzani. Budget iliyopita mmeshindwa kutekeleza miradi kwa asilimia 65% hebu rudi darasani ukasome upya.
Kwa hiyo wananchi kama wamegomeshwa na wako tayari kuandamana,je serikali iwapige mabomu?.Si mnataka demokrasia?.Wakipigwa mabomu mapovu hayatawatoka?
 
Huu ni ujinga kabisa. Hii nchi tangu tupate Uhuru CCM inakuja na hoja za kipumbafu namna hii ivyo ni visingizio tupu.

Toeñi ujinga wenu hapa nyie uvccm hii nchi imekwma kwa sababu ya Sera zenu za ovyo since Independence
Hao wananchi wenu msipowasaidia hela itahamishiwa sehemu nyingine!.Shauri yenu.
 
Mbona mkoa mzima wa GEITA una diwani mmoja tu kutoka upinzani! Na mambo yote yanasimamiwa na ccm, sasa kusema upinzani wanakwamiaha, je, wanapata wapi nguvu? Weka sawa , bila hivyo huu ni uongo
penez,Maheng,na Mwenyekiti serikali za mtaa.Yaani na mbungie yumo
 
Back
Top Bottom