Kakulwa P
JF-Expert Member
- Feb 8, 2012
- 200
- 72
Mojawapo ya vyama vikubwa hapa nchini juzi kilifanya kikao chake nyeti na kutoa tamko la kuchangisha pesa kutoka kwa wale wanaokiunga mkono kwa ajili maandalizi ya chaguzi ndogo mkoani Kagera.
Baada ya kikao hicho baadhi ya waalikwa walisikika wakisema chama hiki kinajuaje kama kutakuwepo uchaguzi mdogo kuanzia ngazi ya Kata au ubunge? Na kwanini washirikishwe kutoa michango kwa ajili ya chama hicho?
Najua kuna wanaJF watakaotoa majibu kama ya Lusinde Mb. lakini kwa vyama makini hii ni changamoto kubwa ya kufanya ufuatiliaji na kujiandaa.
Baada ya kikao hicho baadhi ya waalikwa walisikika wakisema chama hiki kinajuaje kama kutakuwepo uchaguzi mdogo kuanzia ngazi ya Kata au ubunge? Na kwanini washirikishwe kutoa michango kwa ajili ya chama hicho?
Najua kuna wanaJF watakaotoa majibu kama ya Lusinde Mb. lakini kwa vyama makini hii ni changamoto kubwa ya kufanya ufuatiliaji na kujiandaa.