Mhaya
JF-Expert Member
- Aug 20, 2023
- 2,563
- 7,321
CHAMA CHA WAISLAM DUNIANI ambacho Makao Makuu yake yapo Mji Mtakatifu wa Makka umechukizwa na kusikitishwa na vitendo vya Iran kushambulia Mataifa ya Kiarabu ambapo wameita ni matendo ya kinyama kinyume na dini hivyo wameomba Jumuiya za Kimataifa ziungane dhidi ya Taifa la Kiislamu la Iran.