Chakula cha Mama Ntilie na utamu wake

Kuna mmoja nyanda za juu kusini alikuwa anachanganya na damu ya Siku zake na maji ya kupikia kuanzia chai hadi chakula, watu walikuwa wanaja kwenye banda lake hatari.
 
Bongo its the only place ukipitia maisha ya shida unaitwa hero...lets fight this mentality
 
Umekulia ushuani mkuu huku kwetu kawaida hatuangalii hayo mkuu
 
Mtu alieshikwa tumbo la kuhara akiwa stendi ya mabasi huwa anasifia sana jinsi choo cha stendi kilivyomsitili.... uwezo wetu wa kujikuna umeishia hapo, hatuna jinsi ya kuviona vitamu regardless vinaandaliwa na nani au katika mazingira yapi.
Wain roone na wenzake walikula kwa mamantilie na wakasifia vile vile kuwa vitamu
 
Assessment yako ni nzuri mkuu, ila hizo bei mbona hazieleweki.T.Sh.800.000 mpaka 1.5000! Nadhani labda ni T.Sh.800 mpaka 1,500!

Anyway,hiyo sio point yangu muhimu.Point yangu muhimu ni kwamba mimi niliacha kula huko. Nilikuwa napenda sana niwapo maeneo ya kazi isolated ambapo hakuna respectable restaurants kula kwao.Siku moja niliwahi asubuhi na mapema nikashuhudia jambo la ajabu sana.Niliona kwa macho yangu Mama Ntilie mmoja akikojolea chai!Dah,hamu iliniisha mkuu.Yule mama alinisihi sana na kuniambia nimtunzie siri yake.Nilifanya hivyo,ila dah,nilichoka.

Baada ya kuchunguza na kuuliza kulikoni, nimeambiwa kwamba wengi wao wanatumia ushirikina kuvuta wateja kwenye biashara zao.Tena nimeambiwa there is more than that!Tangu hapo mama ntilie na mimi mbali mbali kabisa mkuu.
 
Mkuu wala si kitu kibaya saaana,.ww kula kama huna budi Ila kama unauwezo wa kujipikia mwenyewe si vibaya.
Kama inafaa ninon'goneze huku pm vinginevyo umeniogopesha nikijua nitakuwa huru kula hata kama wanapikia maji ya mochwari
 
kuna mama alikua anaitwa mama jero mitaa ya biasi alikua anauza mia tano plate had mia saba. Hicho cha mia saba mnaweza kula watu wawili.maharagwe unaweza kukuta yako manne tu mchuzi utaukuta chini ya ubwabwa. ule Michele sijui alikua anautoa wapi. amesaidia masela wengi walio kua wanapiga Pasi ndefu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…