rosemarie
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 6,887
- 3,439
Wakuu tupo Kalenga na tumeshangazwa jinsi watu wa jimbo hili walivyoamka na kuelewa mambo,nimemsikia kijana mdogo sana akimtania mwenzake,hivi huyu mume wa mzungu akichaguliwa atamleta mzungu huku kijijini?hilo ni swali la msingi na gumu sana kulijibu,tumeona jinsi makamanda wa Chadema wanavyofanya kazi kwa nguvu zote na kuungwa mkono na wananchi wa Kalenga
tumeshuhudia Ktibu Mkuu akifungua matawi na kuhakikisha viongozi wa matawi wanapatikana,kwa kweli ni kazi ngumu lakini inasaidia sana kuimarisha chama
cha kufanya ni kusubiri fisadi lingine life tupate nafasi nzuri ya kwenda kuimarisha chama kitongoji baada ya kitongoji!!!
tumeshuhudia Ktibu Mkuu akifungua matawi na kuhakikisha viongozi wa matawi wanapatikana,kwa kweli ni kazi ngumu lakini inasaidia sana kuimarisha chama
cha kufanya ni kusubiri fisadi lingine life tupate nafasi nzuri ya kwenda kuimarisha chama kitongoji baada ya kitongoji!!!