Chagua UKAWA tuondoe Mafisadi CCM

Chagua UKAWA tuondoe Mafisadi CCM

Pelham 1

JF-Expert Member
Joined
Feb 29, 2012
Posts
548
Reaction score
100
Nikiwa mstari wa mbele mimi wewe, yule kwa pamoja tuchague UKAWA kuleta mabadiliko katika Taifa letu October 2015, Mshauri rafiki, ndugu, jamaa na jirani yako kwenda kujiandikisha na kuhakikisha tunaipa nguvu UKAWA kwa kuwachagua viongozi wake kuanzia ngazi ya Uraisi, Wabunge na Madiwani.

Nataka Bunge lijalo litawale wingi wa wabunge wa vyama pinzani na kuiacha mafisadi CCM wakiangukia pua kama chama cha TANU.

Nikiwa mstari wa kupigania mabadiliko, na nyoosha juu mkono wa ushindi kama Barack Obama nikisema UKAWA UMOJA NI NGUVU YES TOGETHER YES WE CAN!!

MABADILIKO YANAANZA NA SISI...
 
Yap ili mabadiliko ya kweli yapatikane inatakiwa ukawa ishinde hapo ndipo watu watakua na adabu.uchumi utabadilika na mambo mengi yataenda sawa
 
Back
Top Bottom