mwanamwana
JF-Expert Member
- Aug 1, 2011
- 1,076
- 4,113
Diwani kutoka chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA kata ya namichiga, wilayani Ruangwa mkoani Lindi Bwana. Mikidadi Ibadi Mbute amejiuzulu nafasi yake na kutangaza kujiunga na CCM baada ya kuridhishwa na kasi ya Mh.Rais Dkt.John Pombe Magufuli.
Pia Bakari Hamisi Mpanya maarufu kama Selenge aliyekuwa diwani wa kata ya Nachingwea akitokea chama cha CUF,amejiunga na CCM na kusema ameridhishwa na kasi ya mbunge wa Ruangwa Kassim Majaliw
Pia Bakari Hamisi Mpanya maarufu kama Selenge aliyekuwa diwani wa kata ya Nachingwea akitokea chama cha CUF,amejiunga na CCM na kusema ameridhishwa na kasi ya mbunge wa Ruangwa Kassim Majaliw