CHADEMA yazidi kupaa kuelekea 2015

CHADEMA yazidi kupaa kuelekea 2015

mwela

Member
Joined
Apr 26, 2011
Posts
47
Reaction score
7
Hebu pitia takwimu fupi za CHADEMA

MWAKA1995 tulishinda Wabunge 4, madiwani 42.

Mwaka2000, tulishinda wabunge 5 madiwani 75.

Mwaka 2005 Wabunge 11 madiwani 103"

Mwaka 2010 Wabunge 48, Madiwani. 467.

itakua vp 2015 kama si kwenda IKULU? Mchango wako ni muhim sn kufanikisha CHADEMA kushika dola.
 
2015 wabunge 250 Madiwani hakuna idadi-White House:whoo:
 
Mkuu huo ndo ukweli, ijapokuwa magambaz na mafisadi hawataki kuusikia.
 
ndoto pia zinaruhusiwa, endeleeni kuota
 
Mkuu, kwa kawaida, wakati ndege inalelekea kwenye njia ya kurukia; sekunde chache kabla haijapaa; abiria hufahamishwa mambo kadhaa kama vile rubani atakirusha chombo futi ngapi juu ya usawa wa bahari, jotoridi nje ya ndege linategemewa kuwa kiasi gani pindi ikifikia kasi ya juu zaidi na kasi yenyewe itakuwa ipi.

Pia, inategemea kuwasili muda gani huko iendako, inategemewa kupitia katika mawingu manene kiasi gani, pepo na dhoruba kiasi gani na masuala mengine yote ya kiusalama kama milango ya dharura ilipo na namna ya kuifungua, life jackets na nanma ya kulivyaa, n.k.

Sasa basi, kwa kuwa umesema Chadema inazidi kupaa, kwa muktadha huo hebu tupe tips za huko tuendako na issue za kiusalama endapo chombo kitakorofisha njiani.
 
Hebu pitia takwimu fupi za CHADEMA

MWAKA1995 tulishinda Wabunge 4, madiwani 42.

Mwaka2000, tulishinda wabunge 5 madiwani 75.

Mwaka 2005 Wabunge 11 madiwani 103"

Mwaka 2010 Wabunge 48, Madiwani. 467.

itakua vp 2015 kama si kwenda IKULU? Mchango wako ni muhim sn kufanikisha CHADEMA kushika dola.
mkuu kwa sasa chadema ina wabunge 49 na si 48. Mengine tuko pamoja!
 
Ccm hawatakubali kukabidhi kwa chama kingine mwaka 2015, wataongeza wang'oa kucha na meno bila ganzi wengi ili kuwatisha wananchi!
 
Hebu pitia takwimu fupi za CHADEMA

MWAKA1995 tulishinda Wabunge 4, madiwani 42.

Mwaka2000, tulishinda wabunge 5 madiwani 75.

Mwaka 2005 Wabunge 11 madiwani 103"

Mwaka 2010 Wabunge 48, Madiwani. 467.

itakua vp 2015 kama si kwenda IKULU? Mchango wako ni muhim sn kufanikisha CHADEMA kushika dola.
Comparatively, gap ambalo wamekuwa nayo ni ndogo. Ushauri wangu makamanda waongeze nguvu
 
2015, magogoni moja kwa moja, anayebisha abishe kwa faida yake binafsi!
 
2015 wengi hawataamini
sera ya majimbo itawasaidia chadema kuzoa wabunge na madiwani wengi zaidi
CCM wataiga sera ya majimbo muda sio mrefu.
hata bibi yangu ameshajuta kuichagua CCM wameshaambiana mtaa mzima kuikataa CCM
 
Ila make mkijua kuna mkakati mpya wa kuanza kutoboa macho ili tusione ni jinsi gani Ndovu Lager wanavyong'olewa meno
 
Hebu pitia takwimu fupi za CHADEMA

MWAKA1995 tulishinda Wabunge 4, madiwani 42.

Mwaka2000, tulishinda wabunge 5 madiwani 75.

Mwaka 2005 Wabunge 11 madiwani 103"

Mwaka 2010 Wabunge 48, Madiwani. 467.

itakua vp 2015 kama si kwenda IKULU? Mchango wako ni muhim sn kufanikisha CHADEMA kushika dola.


kwa nyongea 1995 wabunge wa majimbo walikuwa 3 karatu Dr Slaa, Kigoma Ujiji Dr Amani Kabour, Rombo 30, 2000 Tulishinda majimbo 4 tukapoteza jimbo moja la Rombo: Karartu Dr Slaa, Kigoma Ujiji Dr Aman Warid Kabour, HAi Mbowe, MOshi Mjini Ndesa Pesa, 2005 tukapoteza majimbo mawili Kigoma Ujiji naq Hai na tukashinda majimbo 5 Moshi Mjini Ndesa, Kigoma Kaskazini Zitto, TArime RIP Chacha Zakayo Wangwe, Karartu Dr Slaa, Mpanda Kati Saiod Amour Arffi, na wabunge wa viti maalumu 6 na mwaka 2010 tumepoteza jimbo moja la tarime na lenyewe baada ya mgawanyo wa kura na Charles Mwera aliyekimbilia cuf na tukarudisha majimbo 4 kati ya 5 ya 2005 na tukanyang'anya majimbo 20 kutoka ccm
  1. Ubungo....John John Mnyika
  2. Kawe na huku JK na mawaziri walimchagua HAlima James Mdee
  3. Rombo..........30
  4. Moshi Mjini .......Ndesa Pesa
  5. Arumeru MAshariki................Joshua Samwel Nasari
  6. Hai...............................Freeman Aikael Mbowe
  7. Arusha Mjini Godbless Jonathan Lema
  8. Karatu......................Yohana Natse
  9. Mbulu.........................Mustafa Akonay
  10. Singida MAshariki..........Tundu Antipacy Mugwai Lisu
  11. Biharamulo Magharibi..........Dr. Anthony Gervas Mbasa
  12. Bukombe............................Pro. Kulikoyela Kanarwanda Kahigi
  13. Meatu...............................Meshack Opulukwa
  14. Maswa Magharibi.................John Shibuda
  15. Maswa Mashariki...................Sylvetre KAsulumbai
  16. NYamagana...........................Ezekiel Dibogo Wenje
  17. Ilemela..................................Samson Hyghness Kiwia
  18. Ukerewe..................................Salvatory MAchemli
  19. Musoma Mjini............................Vicent Nyerere
  20. Iringa Mjini................................Peter Msigwa
  21. Mbeya Mjini.................................Joseph Osmundi Mbilinyi
  22. Mbozi Magharibi...........................Sauti ya simba David Ernest Silinde
  23. Mpanda Kati .................................Said Amour Arfi
  24. Kigoma Kaskazini.............................Zitto Zuberi Kabwe


alafu tunasubiri Joseph KAsinde ...Igunga na Sumbawanga Mjini;;;;;;;; chadema wera wera!!!!!!!!!!!!!!!
 
ccm na polccm wakafie mbali na hujuma zao kwa wananchi. Viongozi gani wasio wajali watu wake. Mikataba feki, madini yetu yanaibwa, tembo kinana kazini hadi bia ikabatizwa kinana chezea wewe. Hela zetu Swiss, EPA na ufisadi mwingi mno ee Mungu njoo haraka. Wakinamama wanateseka hospitals tabu, maji tabu, 50 years of ruling but we are still suffering from having clean and safe water??? shame ccm but time will tell
ndoto pia zinaruhusiwa, endeleeni kuota
 
2015 na mimi nachukua jimbo, mchana kweupeee, maccm jinga sana, haiwezi kutuburuza hivi
 
Kama wabunge 48 wanaenda IKULU ya Tanzania.
Wenye Wabunge 250 wataenda WHITE HOUSE ya Marekani.
 
Hongera chadema ikulu 2015 ni
lazima keep it up
Tupo pamoja tumechoshwa na utawala
usio kuwa na huruma na wananchi wake.
 
2015 na mimi nachukua jimbo, mchana kweupeee, maccm jinga sana, haiwezi kutuburuza hivi

Wewe tunaongelea 2015 itakuwa sio 250 hiyo figa ya ccm hawataipata tena kwenye tamani ya siasa tutaongelea ccm labda 130 mpaka 150.
 
Back
Top Bottom