Chadema yazidi kung'ara uchaguzi madiwani

Chadema yazidi kung'ara uchaguzi madiwani

Mmawia

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
122,521
Reaction score
96,267
Ktk hali inayodhihirisha kuimarika na kukubalika kwa cdm, ni kuchukua hadi sasa kata 8 za udiwani na kuonyesha kuwa ktk uchaguzi wowote cdm inazidi kuiangamiza ccm.
 
Umekosea! Ccm ndiyo inaimaliza Chadema kata 27 imeambulia 3? Rip Chadema
 
Hizo kata mwanzoni zilikuwa mikononi mwa nani?

Usiwe mfinyu wa fikra kama mlijua za CCM mliingia ktk Uchaguzi kufanya nini ndio mnapeana matumaini mwaka 2015 mtakua mmechukua nchi na huku mnajua majimbo yote ya CCM na kata zote za CCM? Chadema ni hadi hapo chama kitapokua cha wanachama ndio kitakuwa na uwezo wa kushika dola kwa muundo huu CDM Zito,CDM Mbowe,CDM Slaa,CDM Lisu mtasubiri sana embe chini ya muarobaini na mtakoma kuringa.
 
Usiwe mfinyu wa fikra kama mlijua za CCM mliingia ktk Uchaguzi kufanya nini ndio mnapeana matumaini mwaka 2015 mtakua mmechukua nchi na huku mnajua majimbo yote ya CCM na kata zote za CCM? Chadema ni hadi hapo chama kitapokua cha wanachama ndio kitakuwa na uwezo wa kushika dola kwa muundo huu CDM Zito,CDM Mbowe,CDM Slaa,CDM Lisu mtasubiri sana embe chini ya muarobaini na mtakoma kuringa.

Wapashe hao wabaguzi wakabila wajijue
 
Naona uko dunia ya giza na hujui kinachoendelea hapa duniani.cdm viti 8

1) Sombeteni
2)Kiborolon
3)Njombe
4)............
5)...........
6)...........
7)...........
8)..........
Naomba unijazie zilizobaki, zaidi ya hapo wewe ndiyo hujui kinachoendelea.
 
Ktk hali inayodhihirisha kuimarika na kukubalika kwa cdm, ni kuchukua hadi sasa kata 8 za udiwani na kuonyesha kuwa ktk uchaguzi wowote cdm inazidi kuiangamiza ccm.

Mkuu, hizo kata 8 ambako CDM ilishinda katika uchaguzi wa 09/02/2014 ni zipi?
 
1) sombeteni
2)kiborolon
3)njombe
4)............
5)...........
6)...........
7)...........
8)..........
Naomba unijazie zilizobaki, zaidi ya hapo wewe ndiyo hujui kinachoendelea.

1.sombetini 2.kibololoni
3.njombe
4.moshi mjini
5.partimbo
6.lolera.
7.
8.
9. (kata 3 za dodoma)
 
1.sombetini 2.kibololoni
3.njombe
4.moshi mjini
5.partimbo
6.lolera.
7.
8.
9. (kata 3 za dodoma)
Kweli mashabiki wa CHADEMA hamuwezekani
Mfalme wenu yuko UCHI mnamshabikia tu Peopoooooooooooooooooles Powerrrrrrrrrrrrrrr
MBAVU SINA
4.moshi mjini
5.partimbo
6.lolera.
7.
8.
9. (kata 3 za dodoma)
 
Kweli mashabiki wa CHADEMA hamuwezekani
Mfalme wenu yuko UCHI mnamshabikia tu Peopoooooooooooooooooles Powerrrrrrrrrrrrrrr
MBAVU SINA
4.moshi mjini
5.partimbo
6.lolera.
7.
8.
9. (kata 3 za dodoma)

Sasa ndio umeandika nini hapo?
 

Attachments

  • 1392057714766.jpg
    1392057714766.jpg
    59.9 KB · Views: 162
Usiwe mfinyu wa fikra kama mlijua za CCM mliingia ktk Uchaguzi kufanya nini ndio mnapeana matumaini mwaka 2015 mtakua mmechukua nchi na huku mnajua majimbo yote ya CCM na kata zote za CCM? Chadema ni hadi hapo chama kitapokua cha wanachama ndio kitakuwa na uwezo wa kushika dola kwa muundo huu CDM Zito,CDM Mbowe,CDM Slaa,CDM Lisu mtasubiri sana embe chini ya muarobaini na mtakoma kuringa.

je uchaguzi ulikuwa huru na haki, mbona wabunge na waandishi wa habari wamepigwa huko. natamani nishuhudie uchaguzi wa huru na haki ili atakayeshinda nimpongeze. mtu mwingine ana haki kupongeza CDM kwa kuwa ni chama pinzani na kimechukua kata katika maeneo yasiyotarajiwa

kama huamini hulazimishwi ni maoni yako yanaheshimiwa tu, mbona ukasirika na kutaka kupiga watu
 
1.sombetini 2.kibololoni
3.njombe
4.moshi mjini
5.partimbo
6.lolera.
7.
8.
9. (kata 3 za dodoma)

Uko nyuma sana hata vyombo vya habari hufuatilii, soma kuna threads
Humu za matokeo wenzio wote wanajua vinginevyo siwezi kubishana na wewe. Chopa 3 kata 3
 
Back
Top Bottom