CHADEMA yazidi kung'aa Bukoba Mjini

Asante sana kamanda , hata TEMEKE cdm inasonga mbele kwa kasi mno , keko machungwa , keko mwanga , kurasini , keko juu ccm kwisha kazi .
 
Good job! tunawapongeza....waonesheni nguvu ya cdm nje ya bunge. Maana huko wametukana watanzania kwa kupitisha sheria hovyo.
 
Naelewa sana moto unaowaka hapo kwa sahivi kijani lazima wahame tu.
 
Asante sana kamanda , hata TEMEKE cdm inasonga mbele kwa kasi mno , keko machungwa , keko mwanga , kurasini , keko juu ccm kwisha kazi .

Mtajiliwaza kwa mambo ambayo ukweli wake unaonekana. Wabunge wenyewe ambao ndiyo viongozi wakuu wa CHADEMA wanataka kutoana macho kwa sababu ya sitting allowance.
 
Kufikia 2014 October kila palipo na balozi wa ccm kuna balozi wa chadema
Huu ndiyo ukweli.
CHADEMA kipo kwenye ulingo wa kisiasa kuanzia 1992 ambapo ni miaka kama 21 kwa sasa ambapo hakina hata mabalozi to match CCM halafu unaongelea miezi ndiyo wataweza kufanya kazi hiyo. You must be joking.

Sitting allowance kwa viongozi wenu wa kitaifa zinataka kuwatoa macho. Uchaguzi wa ndani ya CHADEMA, viongozi wanaogopa kuufanya. Mtaweza kupambana na mazingira na mtandao wa CCM nchini?.

Fikra zako ni placebo ya kisiasa.
 
Naona Mwanadiwani unaumia macho kila ukisoma neno CDM ...mtakaa sana,CDM ni baba lao iwe masika,kiangazi ama vuli CDM haitamwacha yeyote mpaka akina mkubali.
 
Lema anakiua chama nyie mko hapa mnafarijiana.
Poleni misukule.
 
Hii habari kuna watu wanaipokea vibaya utafikiri wapokea taarifa ya msiba.Ni uzembe tu kukataa ushauri wa Mkiti wenu kuwa muanze kujiandaa kisaikolojia CCM itakapo kuwa chama kidogo cha upinzani.Asante sana makamanda kwa kazi nzuri
 

nimeipenda hii comment nzuri, wahaya bhana kiboko, kagasheki wanamtreat kama mbunge alopora kura zao na kupata ubunge ivo hawampi ushirikiano kabisa.
 
Lema anakiua chama nyie mko hapa mnafarijiana.
Poleni misukule.

ah ah, nimebaini kumbe ccm mpo pia?? hii habari lzm iwaume.

ivi wakumbuka jk kasema: ccm kwa rushwa ilivokua juu 2015 mjiandae kushindwa vibaya, na ninavowajua kwa rushwa hamtaacha
 

masikini unachangia kwa kuwa ndo ushapewa buku7 na mwigulu then utafanyaje lzm uandike kitu kibaya angalau dhidi ya chadema, japo aujiulizi hao wa kitendagulo uko bukoba wamechukia nini ccm au hawajazielewa propaganda zenu?

ivi wajua wanaofanya grand corruption kt nchi hii ni akina nani? wajua wahasisi wa richmond, epa, bot tower, majority ni makada wa chama chako, na mnadhani watanznia hatjui ilo? ng'ang'aneni na chadema mkihisi itawarudishieni imani kwa watanzania japo aitawasaidia
 

Dogo, nawe unaongea propaganda tu. Kiukweli, ccm ishachokwa.

CCM ni chama mfu, labda kama ulivyo wewe na fikra mfu. Take care idiotum.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…