CHADEMA yavurugika Kigoma

CHADEMA yavurugika Kigoma

kailakarama

Member
Joined
Aug 30, 2014
Posts
73
Reaction score
30
Ziara ya mwenyekiti wa taifa wa Chadema Mh. Mbowe mkoani Kigoma yawavuruga wanachama na viongozi wa Chadema Kigoma.
Baada ya Mbowe kufanya ziara mkoani Kigoma na kuzomewa katika mikutano mbalimbali ya hadhara aliyofanya mkoani Kigoma tofauti na alivyotarajia ilimlazimu kukutana na viongozi mbalimbali wa CDM katika kikao maalum kilichofanyika katika hotel ya Coast View mjini Kigoma.
Hali haikuwa shwari hata kidogo katika kikao hicho baada ya viongozi hao kutoleana matusi na kashfa mbele ya Mbowe.
Hali hiyo ilimpelekea atoke kwenye kikao na kwenda kujifungia katika chumba alichofikia na kuwaacha viongozi hao wakilumbana.
Baada ya Mbowe kuondoka Kigoma vurugu hizo zinaendelea na sasa hali imekuwa si shwari baada ya baadhi ya viongozi kuaanza mikakati ya kuuondoa uongozi uliopo madarakani kwa Kumuondoa Mwenyekiti Ally Kisala na kumuweka Yared naye katibu wa mkoa Lucas Madede kutoka na nafasi yake kuchukuliwa na Idan Ndowa.
Mapinduzi haya yanayoratibiwa na Yared Fabilaus ambaye ni mjumbe wa kamati kuu ya CDM taifa aliyedhubutu kumtukana matusi ya nguoni Meya wa manisipaa ya Kigoma Ujiji Bakari Beji mbele ya Mbowe na hakukemewa hata kidogo na Mbowe kwa matusi hayo.
Yared alikuwa anampa Mbowe taarifa za kiutendaji/ kisiasa za manisipaa ya Kigoma Ujiji inayoendeshwa na Chadema.
Chadema imeshindwa kupata wagombea katika mitaa,vijiji na vitongoji vingi mkoani Kigoma pamoja na ahadi ya Mbowe ya Tsh 300,000 kwa yoyote atakayejitokeza kugombea uenyekiti.
 
Ziara ya mwenyekiti wa taifa wa Chadema Mh. Mbowe mkoani Kigoma yawavuruga wanachama na viongozi wa Chadema Kigoma.
Baada ya Mbowe kufanya ziara mkoani Kigoma na kuzomewa katika mikutano mbalimbali ya hadhara aliyofanya mkoani Kigoma tofauti na alivyotarajia ilimlazimu kukutana na viongozi mbalimbali wa CDM katika kikao maalum kilichofanyika katika hotel ya Coast View mjini Kigoma.
Hali haikuwa shwari hata kidogo katika kikao hicho baada ya viongozi hao kutoleana matusi na kashfa mbele ya Mbowe.
Hali hiyo ilimpelekea atoke kwenye kikao na kwenda kujifungia katika chumba alichofikia na kuwaacha viongozi hao wakilumbana.
Baada ya Mbowe kuondoka Kigoma vurugu hizo zinaendelea na sasa hali imekuwa si shwari baada ya baadhi ya viongozi kuaanza mikakati ya kuuondoa uongozi uliopo madarakani kwa Kumuondoa Mwenyekiti Ally Kisala na kumuweka Yared naye katibu wa mkoa Lucas Madede kutoka na nafasi yake kuchukuliwa na Idan Ndowa.
Mapinduzi haya yanayoratibiwa na Yared Fabilaus ambaye ni mjumbe wa kamati kuu ya CDM taifa aliyedhubutu kumtukana matusi ya nguoni Meya wa manisipaa ya Kigoma Ujiji Bakari Beji mbele ya Mbowe na hakukemewa hata kidogo na Mbowe kwa matusi hayo.
Yared alikuwa anampa Mbowe taarifa za kiutendaji/ kisiasa za manisipaa ya Kigoma Ujiji inayoendeshwa na Chadema.
Chadema imeshindwa kupata wagombea katika mitaa,vijiji na vitongoji vingi mkoani Kigoma pamoja na ahadi ya Mbowe ya Tsh 300,000 kwa yoyote atakayejitokeza kugombea uenyekiti.

Ccm hamjaamini kama mboe angefanya mkutano mkubwa hivyo nakukubalika sasa mnaweweseka na propaganda za kitoto
 
mmhh! umekaa muda mrefu, ukafikiria yakakuuma moyoni ukaamua uyabehue. lkn poa ni taarifa nzuri tutaifanyia kazi na tunashukuru kwa kutuhabarisha mapema ili tujipange vizuri kuyadelete magamba.
 
chadema ilishakufa kigoma hata kama chadema hawataki kuamini hilo ni watu wa kuhurumiwa.
 
Mnawashwa na habari za chadema sana! yaan msipoisema chadema sijui hamjisikii vizuri kabisa?
 
Ila kwa hakika mtu akikufananisha na ccm/mwanaccm ni zaidi ya TUSI hakika...!!!!

BACK TANGANYIKA
 
Tangu dr slaa alivyodundwa mawe pale kigoma nilijua chadema kigoma ndiyo basi tena.
 
Ziara ya mwenyekiti wa taifa wa Chadema Mh. Mbowe mkoani Kigoma yawavuruga wanachama na viongozi wa Chadema Kigoma.
Baada ya Mbowe kufanya ziara mkoani Kigoma na kuzomewa katika mikutano mbalimbali ya hadhara aliyofanya mkoani Kigoma tofauti na alivyotarajia ilimlazimu kukutana na viongozi mbalimbali wa CDM katika kikao maalum kilichofanyika katika hotel ya Coast View mjini Kigoma.
Hali haikuwa shwari hata kidogo katika kikao hicho baada ya viongozi hao kutoleana matusi na kashfa mbele ya Mbowe.
Hali hiyo ilimpelekea atoke kwenye kikao na kwenda kujifungia katika chumba alichofikia na kuwaacha viongozi hao wakilumbana.
Baada ya Mbowe kuondoka Kigoma vurugu hizo zinaendelea na sasa hali imekuwa si shwari baada ya baadhi ya viongozi kuaanza mikakati ya kuuondoa uongozi uliopo madarakani kwa Kumuondoa Mwenyekiti Ally Kisala na kumuweka Yared naye katibu wa mkoa Lucas Madede kutoka na nafasi yake kuchukuliwa na Idan Ndowa.
Mapinduzi haya yanayoratibiwa na Yared Fabilaus ambaye ni mjumbe wa kamati kuu ya CDM taifa aliyedhubutu kumtukana matusi ya nguoni Meya wa manisipaa ya Kigoma Ujiji Bakari Beji mbele ya Mbowe na hakukemewa hata kidogo na Mbowe kwa matusi hayo.
Yared alikuwa anampa Mbowe taarifa za kiutendaji/ kisiasa za manisipaa ya Kigoma Ujiji inayoendeshwa na Chadema.
Chadema imeshindwa kupata wagombea katika mitaa,vijiji na vitongoji vingi mkoani Kigoma pamoja na ahadi ya Mbowe ya Tsh 300,000 kwa yoyote atakayejitokeza kugombea uenyekiti.

Uzuri ziara ya mbowe kigoma ilitangazwa na itv,hakuna mahali mbowe alizomewa,hivyo basi propaganda hizo peleka ccm.
 
Inabidi wajipange sana.wameshaanza kupigana wao kwa wao.nishida hiyo ,baada ya kujipanga kupambana na adui wao wanashindana wenyewe .ni dalili mbaya ya kifo Chadema Kigoma.
 
Ziara ya mwenyekiti wa taifa wa Chadema Mh. Mbowe mkoani Kigoma yawavuruga wanachama na viongozi wa Chadema Kigoma.
Baada ya Mbowe kufanya ziara mkoani Kigoma na kuzomewa katika mikutano mbalimbali ya hadhara aliyofanya mkoani Kigoma tofauti na alivyotarajia ilimlazimu kukutana na viongozi mbalimbali wa CDM katika kikao maalum kilichofanyika katika hotel ya Coast View mjini Kigoma.
Hali haikuwa shwari hata kidogo katika kikao hicho baada ya viongozi hao kutoleana matusi na kashfa mbele ya Mbowe.
Hali hiyo ilimpelekea atoke kwenye kikao na kwenda kujifungia katika chumba alichofikia na kuwaacha viongozi hao wakilumbana.
Baada ya Mbowe kuondoka Kigoma vurugu hizo zinaendelea na sasa hali imekuwa si shwari baada ya baadhi ya viongozi kuaanza mikakati ya kuuondoa uongozi uliopo madarakani kwa Kumuondoa Mwenyekiti Ally Kisala na kumuweka Yared naye katibu wa mkoa Lucas Madede kutoka na nafasi yake kuchukuliwa na Idan Ndowa.
Mapinduzi haya yanayoratibiwa na Yared Fabilaus ambaye ni mjumbe wa kamati kuu ya CDM taifa aliyedhubutu kumtukana matusi ya nguoni Meya wa manisipaa ya Kigoma Ujiji Bakari Beji mbele ya Mbowe na hakukemewa hata kidogo na Mbowe kwa matusi hayo.
Yared alikuwa anampa Mbowe taarifa za kiutendaji/ kisiasa za manisipaa ya Kigoma Ujiji inayoendeshwa na Chadema.
Chadema imeshindwa kupata wagombea katika mitaa,vijiji na vitongoji vingi mkoani Kigoma pamoja na ahadi ya Mbowe ya Tsh 300,000 kwa yoyote atakayejitokeza kugombea uenyekiti.
Inaonekana umevurugwa na hata kifungua kinywa hujapata.
 
Mnaomba ucku na mchana Chadema ijivuluge kigoma inashindikana na haita wezekana,Zitto ni mtoto mdogo sana ktk siasa sawa sawa na chekechea tuuu.Kuisaliti cdm kapoteza watu wengi makini ambao walikuwa wakifuatilia utendaaji wake alipo kuwa cdm,sasa iv kachoka zaidi sura yake imejaa aibu kibao
 
Sokwe mtu alisema chadema itakufa kabla ya 2014 imeshindikana sasa mnaona mje na propaganda za maneno ya khanga hahahahahaaa,labda nikuulize mleta mada wewe ni ME au KE?
 
Acheni propaganda za kilofa. Eti cdm kinakufa basi ccm hakipo kabisa. Mnaweweseka sana tigo zinawasha?
 
Back
Top Bottom