yegella
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 3,113
- 1,104
CHADEMA mkoa wa Arusha juzi ilizindua mradi wa maji uliogharimu
40mil, fedha kutoka kwa wananchi na CHADEMA. Uzinduzi huo ulifanywa na
Katibu wa CHADEMA mkoa wa Arusha Amani Golugwa, pamoja na Mwenyekiti wa
BAVICHA mkoa Nanyaro katika kijiji cha Ng'iresi kata ya Oltroto Arumeru magharibi. Mradi huu ni jitihada
za chama pamoja na wananchi hao ambao wapo jirani na vyanzo vingi vya
maji lakini bado wanateseka na kutokuwa na huduma hiyo ya maji
Mradi huo ambao umekamilika utanufaisha zaidi ya wananchi 5,000.
Baada ya uzinduzi huo ndipo wananchi wananchama wa ccm waliporudisha
kadi zao na kujiunga na CHADEMA, zaidi ya 960 za ccm zilirudishwa na
walijiunga na CHADEMA wakiongozwa a mwenyekiti wa kijiji, pamoja na vitongoji vyote
vinne
Umati uliojitokeza kwenye uzinduzi
Katibu wa mkoa pamoja na mwenyekiti aliyerudisha kadi akiingalia ya CHADEMA kwa umakini
Mradi wa maji uliogharimu 40mil
Nawasilisha
40mil, fedha kutoka kwa wananchi na CHADEMA. Uzinduzi huo ulifanywa na
Katibu wa CHADEMA mkoa wa Arusha Amani Golugwa, pamoja na Mwenyekiti wa
BAVICHA mkoa Nanyaro katika kijiji cha Ng'iresi kata ya Oltroto Arumeru magharibi. Mradi huu ni jitihada
za chama pamoja na wananchi hao ambao wapo jirani na vyanzo vingi vya
maji lakini bado wanateseka na kutokuwa na huduma hiyo ya maji
Mradi huo ambao umekamilika utanufaisha zaidi ya wananchi 5,000.
Baada ya uzinduzi huo ndipo wananchi wananchama wa ccm waliporudisha
kadi zao na kujiunga na CHADEMA, zaidi ya 960 za ccm zilirudishwa na
walijiunga na CHADEMA wakiongozwa a mwenyekiti wa kijiji, pamoja na vitongoji vyote
vinne
Umati uliojitokeza kwenye uzinduzi
Katibu wa mkoa pamoja na mwenyekiti aliyerudisha kadi akiingalia ya CHADEMA kwa umakini
Mradi wa maji uliogharimu 40mil
Nawasilisha